Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa akiongea na wanahabari mara baada ya kuzindua Shule Kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano jijini Dar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 22, 2009

    Ningefurahi kumuona Mama, Dk. Asha-Rose Migiro kama Rais wa Tanzania. Ni mdiplomasia na mtaalam katika nafasi yake ambaye Tanzania imejaliwa kuwa naye. Bng.

    ReplyDelete
  2. Dr. waambie hawa wanahabari waache UDINI. Glob ya Jamii Forum ni ya wadini watupu.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 23, 2009

    Mama kiswahili kinapanda hadi raha, hakuna kuchanganya kiswanglish kama watz wakikaa ulaya hata wiki sita za short course wengine wanaongea kiswahili kwa shida, jamani tuige mfano wa mama yetu, kama ni kiswahili anaongea kiswahili, ikija lugha ya malkia nako mwake. HONGERA MWALIMU WANGU!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...