Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Dk. Asha-Rose Migiro akifurahia baada ya kuzindua rasmi Shule Kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano leo jijini Dar
Naibu Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Dk. Asha-Rose Migiro akitoa hotuba katika uzinduzi rasmi wa Shule Kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliani (School of Journalism and Mass Communication) mchana huu chuoni hapo Mikocheni Dar
Matangazo ya moja kwa moja na Mlimani TV ambapo pia Mlimani radio FM na The Hill Observer vimezinduliwa pamoja na chuo hicho

Mhadhiri Ayoub Riob (shoto) wakiwa na wakuu wa chuo hicho waliopita katika hafla hiyo. Kutoka kulia ni Mzee Samwillu Mwafisi, Gervas Moshiro na Profesa Mwajabu Possi




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 21, 2009

    yap tpate waandishi wazuri wa habari kamili zenye usomi

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 21, 2009

    Hii ni shule nzuri kwa wanahabari na tunafurahi mazao ya Chuo hicho kama Gerson Msigwa wa TBC, Elisha Elia, Ben Mwaipaja, Rahel Mhando, Hope Dagaa na wengine wengi wanaofanya vizuri katika fani. Hongera sana, Kaka Rioba kaza buti kazi ndio kwanza inaanza

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 21, 2009

    anza kwenda gym kaka michuzi, upunguze kichwa na pua hiyo! hahahah

    ReplyDelete
  4. MNGEGA GOBBAJuly 21, 2009

    HONGERENI SANA. MIMI KAMA MDAU NILIYESOMAGA CHUONI HAPO MWAKA 2006 NAARIJIKA KUONA MAENDELEO YA CHUO CHANGU HATA KUIKIA HADHI HII YA LEO. PONGEZI SANA KWA KILA MWALIMU NA MTU MWINGINE YEYOYE ALIYECHANGIA CHUO HIKI HADI KUIKIA HATUA HII LEO.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 21, 2009

    nimeenda kwenye radio yao online nikakuta hola. nilifikiri ntawapata live kumbe? kama kuna aliyeweza nipatie link yao niwasikie

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 22, 2009

    Hayo ni mafanikia na kazi nzuri ya MAMA Possi, yeye ndiye aliiyekuwa mkuuu toka ilipo TSJ na sasa imekuwa na kuitwa School of journalism hongera sana mama possi, tunahitaji watu kama nyie, nilisoma na mtotowake anaitwa Ally, sijui sasa yupo wapi maana nae alikua na akili nyingi sana na handsome sana

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 22, 2009

    Mama migiro is soo simple
    I like her.japo ni makamu mkuu wa dUNIA lakini hajalewa madaraka na mafao na kuasahau majikumu na kujipodoa.
    Hongera mama my next president

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...