Baada ya Rigwaride kali kule Goepingen juzi ambapo mambo yalikuwa swafi , Ngoma Afrika sasa FFU hao na karandinga lao wanajiandaa kupiga misele UFINI na wakirudi tu watakuwa na onesho lingeine mjini Balingen. Na endapo kama magazeti yanavyoonesha wadau walivyo na hamu na FFU ni kielelezo, basi atakuwa halali mtu kwenye shoo hizo
Home
Unlabelled
FFU kuvamia Ufini na Balingen na karandinga lao!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
wazee wa ngoma afrika,karibuni sana ufini,mnakaribishwa kwa rahaa zenu,joto limeshaanza
ReplyDeletewazee tulitoana jasho wakati wa baridi sasa hali ya hewa ufini kama bongo,karibuni sana
ReplyDeleteukamanda ajauanza leo unajua aka kajamaa kalikua skauti alipokuwa anasoma pale shule ya kinondoni kwa mwalimu mama na jina lake halisi ni iblrahim sasa ushupavu na ugangamavu aliuanza zamani halafu kung fu ipo vile vile hapo sema si mgomvi labda umchokoze
ReplyDelete