Home
Unlabelled
JK akishiriki hitma ya kumuoimbea Sheikh Gorogosi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
INAONEKANA HAPO KWENYE PICHA YA KWANZA,MUFTI AKIMNONG'ONEZA MUUNGWANA,hala hala na mahakama ya kadhi.....
ReplyDeleteAnon wa 11:09AM na MUUNGWANA pia anamnong'oneza Mufti, hala hala waislam msitishie kutonichagua 2010. Mkinichagua tu kabla sijamaliza muda wangu nawapata mahakama ya Kadhi. Sasa hivi nimeshikwa pabaya nikiwapa upande ule nao watatishia kutonichagua. Sasa sheikh wangu jifanye hujui, nikishinda tu 2010 wallah, mahakama ya kadhi nawapatia. Takbir
ReplyDeleteebwanaeeeeeeee hii imetulia.
ReplyDeleteJK: Sasa nani atakuwa mrithi wako baada ya huyu uliyekuwa unamuandaa kuwa mufti kufariki?
ReplyDeleteMufti: Ngoja nitamuuliza Shekh Yahaya
anonymous wa kwanza na KIPILI wabaguzi wa dini
ReplyDeleteKikwete: Waislamu wenzangu kukaa katika jumba lile jeupe mizengwe ni mingi sana. Lakini msijali swala la mahakama ya kadhi nalifanyia kazi. Tupo pamoja.
ReplyDeleteMufti Simba: Nakuaminia mtu mzima. Usijali kura zote za waislamu unazo mwaka ujao. Lakini tupe haki yetu waislamu. Ni haki yetu.
MPENI RAISI UHURU WA KUABUDU. KILA RAISI ALIYEPITA ALIFANYA MAMBO YA KIDINI KWA WAKATI WAKE NA MAMBO YA SERIKALI KWA WAKATI WAKE.RAISI HASIUDHURIE IBADA YA DINI YAKE KISA KUWAOGOPA UPANDE WA PILI, TUKIENDELEA NA UPUMBAVU HUO KILA RAISI TUTAMCHANGANYA NA DINI , ALIPITA MKAPA HIVYO HIVYO. TUACHE USTUPID ESPECIAALY WATU WA NJE.KAMA MAHAKAMA YA KADHI ITADILI NA MIRATHI NA NDOA ZA KIISLAMU WEWE UTAHUMIA NA NINI.NI SAWA NA WAKRISTO WALIVYOTETEA KULA NGURUWE KUWA NI HAKI YAO.
ReplyDeleteANACHOFANYA MHESHIMIWA NI KUTEKELEZA TU AMRI YA DIN INAYOMTAKA MUISLAM YEYOTE KUMHESHIM AALIM WA DINI, YAANI HAPO MHE. HANA UNJANJA LAZIMA ATULIZE BOLI, MUFTI SI MCHEZO, HAO NDO WARITHI WA MTUME WETU ( SAW)
ReplyDeleteMZEE WA BUNJU
Jambo lingine ambalo Mufti anamnong'oneza mheshimiwa "RAHISI" ni Mzee ulikumbuka kuja na ndizi mbivu pamoja na kamfuko ka rambo.Unajua tena ktk sherehe kama hizi mpunga hautashuka kisawa sawa bila ya kuwa na japo ndizi mbivu moja.
ReplyDeleteR.I.P Gorogosi
ReplyDeleteMahakama ya Kadhi imetolewa na serikali ya uingereza kwa waislam ambao ni asilimia mbili tu.
ReplyDeletekiongozi wa kanisa anglikana ameunga mkono kwa waislam wa UK kuwa na mahakama ya kadhi na inafanya kazi kwa support ya serikali ya UK.
LORD CHIEF JUSTICE WA UINGEREZA NAYE AME SUPPORT MAHAKAMA YA KADHI KWA WAISLAM WACHACHE WA UINGEREZA.
MKUU WA WANASHERIA WA UK NAE AMESEMA KUWA MAHAKAMA YA KADHI NI LAZIMA KWA WAISLAM KWANI SHERIA ILIYOPO HAINA MBADALA WAKE.
SASA CHIKAWE NI MKRISTU ZAIDI KULIKO WAINGEREZA AU MKUU WA KANISA LA KIANGLIKANA?
WAISLAM WAPEWE MAHAKAMA YA KADHI NA TANZANIA IJIUNGE NA OIC KAMA ILIVYOFANYA KWA WAKRISTU KWA KUIJUNGA NA VATICAN AMBAYO NI TAASISI YA KIDINI.
LAZIMA TUKUBALI KWAMBA KUNA WAISLAM AMBAO NI ELOMU DUNIA SANA NA WENGINE NI ELIMU AHERA SANA . SASA HAPO SHULE ZINAPINGANA NA HATA KAMA MAHAKAMA YA KADHI IKIANZISHWA WENGINE HASA WALE ELIMU DUNIA HAWATAIPELEKEA KESI ZAO. TUTABANANA TU KISUTU.
ReplyDeleteanon 4:58Pm naona unachanganya kati ya Tanzania na Wakristo.Aya yako ya mwisho nanukuu
ReplyDelete"WAISLAM WAPEWE MAHAKAMA YA KADHI NA TANZANIA IJIUNGE NA OIC KAMA ILIVYOFANYA KWA WAKRISTU KWA KUJIUNGA NA VATICAN AMBAYO NI TAASISI YA KIDINI"
Kwanza ujue sio wakristo wote wanafungamana na VATICAN ni wakatoliki peke yao.
Pili-Umesema Tanzania ijiunge na OIC ukichukulia kigezo cha wakristo blah blah.Tanzania kama nchi haifungamani na dini yeyote na kila dini ina uhuru sawa mbele ya katiba ya nchi.Kwa hivyo sasa kinachotakiwa kufanyika ni kwa Waislamu kujiunga na OIC kama wakristo(ulivyosema ww) walivyojiunga na VATICAN.
Tatu-Kila nchi ina mwenendo na katiba zake.Kama UK imekubali kutambua mahakama ya kadhi haina maana kila nchi ibadili sababu UK wamekubali.UK inatambua haki za mashoga na ndoa za mashoga ina maana Tanzania nayo ifuate Mkumbo wa UK?
Mkuu Jumanne (7:15PM)! Unachosema ni sawa. Lakini kuwepo kwa mahakam ya kadhi hakumlazimishi muislamu kutokwenda mahakama nyingine kutafuta haki kama anaona inafaa. Na kwa yule anayeona mahakama ya kadhi inafaa asilazimishwe kwenda sehemu isiyomfaa.
ReplyDeleteNitakupa mfano mmoja. Serikali iliombwa na waislamu iruhusu hijab kwa wanafunzi wa kike wa kiislamu na ikafanya hivyo (ingawa watu wa dini nyingine walipinga sana hilo kule bungeni wakati wa BWM). Je umeona wanafunzi (wa kike) wote wa kiislamu wanavaa hijab?
ninarudia kusema kwamba hizi tamaduni za 'wenzetu' - wazungu na waarabu, tulizoletewa na kuzipokea kwa roho nzuri (sifa mojawapo nzuri ya mwafrika ni mtu asiyembishi sana) ZINAELEKEA KUTUPELEKA PABAYA.
ReplyDeleteNinashindwa kuelewa kwa nini serikali isitoe ruhusa waislamu wakaanzisha mahakama ya kadhi? Je kila ibada inayofanywa na waislamu, imepitishwa na bunge? kama jibu ni hapana, kwa nini waislamu wasijitangazie kuanzishwa kwa mahakama ya kadhi?????????
sisi wapagani tunazo mahakama zetu za kalumanzila na hatuhitaji kuomba kibali kutoka serikalini.
mpagani
Kwanza nampongeza sana rais wetu muheshimiwa JK kwa kushiriki vyema katika shughuli za kidini inayomhusu! Tanzania ni nchi yenye uhuru wa kuabudu sioni tatizo lolote kwa waislam kupewa mahakama yao ya kadhi kama dini yao inavyotaka. Wakristu wakitaka mahama zao nao watapewa na za serikali yetu zitabaki pale pale kwa hiyo itakuwa ni chaguo la kila mmoja!
ReplyDeleteAt last baba yupo home. We miss you daddy
ReplyDeleteAnon wa 4.58pm Hivi Waingereza ndio kigezo cha Ukristo? Au ndio kipimo cha vitu mbalimbali? Nadhani unapo toa hoja yako huna sababu ya kulinganisha linganisha, badala yake ipe vigezo vya nguvu na vya msingi kuitetea.
ReplyDeletenani anamlipa kadhi???wa mahakama iyo,haina noma wala nini kila muumini ataingiza kile imani yake inamuitaji "kutimiza ibada"
ReplyDeletekatiba ya nchi inasemeje?apa sio wakristo wako against waislam,huu ni ujinga kabisa na kutafuta SABABU
zao ni kuiba kura iki chama
eti UK,vatican nk!!!
out of senses
ni kweli,karibu BABA home
ReplyDeleteHivi kwa nini katika awamu ya nne kumeibuka mijadala mingi ya dini? Nchi inaelekea kubayaaa, Baba wa Taifa alikemea huu ufa.
ReplyDeleteNchi yetu ilitawaliwa na waingereza,bunge letu linafuata mfumo wa Uingereza.elimu yetu inafuata mfumo wa kiingereza,mfumo wa mambo yetu mnengi ni wa kiingereza,
ReplyDeletelugha mnayoipenda wengi wetu ni kiingereza,ndio maana nikatoa mfano wa uingereza ambako ndio chimbuko la ukristu.ningesema Malayasia au Saudia mngesema ni nchi za kiislam.
hata mpira wengi wetu tunapenda timu za uingereza.kwa hiyo MAHAKAMA YA KADHI na OIC NI LAZIMA KWA WAISLAM LIJE JUA AU IJE MVUA.
..mimi nna suali moja naliona muhimu sana: hivi jina lipi ndo sawa na ni kwa nini: hivi ni WAKRISTO/WAKRISTU ao WAMISHENI. Mmmnh, chiswahili chigumu! Ninamuombeni wenye kuimanya mnitongolee, tafazali.
ReplyDeleteTatizo letu watanzania siku hizi ni udini. Tumekuwa wadini kupita kiasi. Suala likifanywa na kiongozi muislamu linapewa sura ya kejeli na chuki bila sababu.
ReplyDeleteWachangia tunajua wazi kwamba kikwete siyo muasisi wa hoja ya kuwepo mahakama ya kadhi bongo. Alianzisha ndugu Mrema akaungwa mkono na CCM na issue ikafika bungeni. Ilikuwa enzi za raisi mkapa. Toka hapo likaletwa rasmi katika ilani ya uchaguzi wa CCM. Maaskofu na wachungaji waliisoma lakini hamna aliyejitokeza kuikemea CCM kuwa ina udini. Hata askofu mtikila alikuwa kimya. Iweje sasa waislamu wameikubali inakuwa issue? Nini tatizo la kikwete kama siyo kukataa unafiki na kutaka kuitekeleza ajenda ya mahakama ya kadhi?
Suluhisho ni kwa watanzania wakweli kuwapiga chini wabunge na viongozi wote wadini katika uchaguzi mkuu. Naamini mzee kikwete alikuwa serious tatizo ni hao wadini nyuma yao. Wanadhani udini utawafikisha wapi. Waislamu bado ni ndugu zao japo wanawachukia.
Kuondoa tatizo la udini ni kuwaolwa dada zao na binti zao kwa gharama zote. Wakiwa wakwe zetu na shemeji zetu labda watatuona nasi ni watanzania kama wao. Tunahaki ya kuabdu na kuinjoi dini yetu kama wao ili mradi atuvunji sheria za nji.
Haleluya- Allah Akbar