msanii wa vichekesho saidi small akiwa na mdau mkuu wa msondo ngoma, omari niachiemimi, na mpenzi mwingine wa bendi hiyo wakiyarudi magoma motomoto ya wana msondo ngoma ambao kila jioni wamekuwa wakitumbuiza bure kwenye maonesho ya sabasaba katika bar ya kizota chini ya udhamini wa kilaji cha safari lager. toka wapate vyombo vipya msondo imekuja juu ile mbaya kwa jinsi muziki wao ulivyozidi kuwa mtamu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 09, 2009

    small na majuto ndio king wa comedy hapa bongo to be honest sio the comedy mpaka wavae kama wanawake,small anaweza kuiga uanawake kwa maneno tu ukacheka mpaka uzimie.to be honest the comedy wanaboa fulani hivi.msiniue jamani wanaglobu hayo ni maoni tu.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 09, 2009

    dAH ASIKWAMBIA MTU MSONDO KIBOKO, HATA SHEIKH MICHUZI ANAJUA HIVO. WATU TUNASEREBUKA MPAKA MAJASHO YA MENO YANABUBUJIKA. KAMA HUAMINI WAULIZE WATU HAWA
    1. MASOUD NASSOR MZEE WA MAGOROFANI, PEMBAAAAAAAAA.

    2. PETER SUMAI MZEE WA UPIMAJI.
    3. DR. MBONDEEE.
    4.mBUNDA MASAKA.
    5. OMARI NIACHIE MIMI.
    6. SUPU YA MAMBA.
    7. OBISH MAKONO - MZEE WA PAMBA KALI.
    8. UNCLE SALEH WA MAKUNDUCI MAMBO WAAA.
    9. ISIAKA KIBENE NA DUBAI.
    10. ALLYII MWANA ZANZIBAR, MZEE WA MJI MKONGWE.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 09, 2009

    Msondo ni baba ya mziki piga ua!
    msondo ndie bendi kongwe barani afrika !Kubali au kataa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...