JK na Mama Salma Kikwete wakipokewa na Mwenyekiti wa MEWATA (Medical Women Association of Tanzania) Dk. Marina Njelekela kufungua kongamano la tano la chama cha kimataifa cha madaktari wanawake (Medical Women International Association) hoteli ya Kunduchi jijni leo
JK na Mama Salma wakielezwa huduma za MEWATA na Dk. Njelekela leo
JK akisalimiana na watoto waliojitokeza kumlaki kwenye hafla hiyo
watoto wakitoa shoo wakati wa hafla hiyo









Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 15, 2009

    Doctor ana good smile mama JK yuko jelous amenuna ile mbaya

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 15, 2009

    Asante Dr. Marina kwa kazi nzuri, pia Vazi limependeza sana eti, Wewe na wenzako mnachapa kazi vizuri sana. Hivi naona tutatuma maombi kwa Raisi Kikwete akuteue kuwa MKuu Wa MUHAS au Katibu MKuu wa Wizara ya Afya. Maana daima unayom nia njema na pia unaongozwa moyo wa kuchapa kazi ukitumia Utaalam wako.
    Kila la heri

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 16, 2009

    hongera Marina kwa PhD ya Medicine. naona watoto wa Forodhani Primary na Zanaki Sec mnawakilisha.

    Michuzi,

    comment zisizo na maana kama za huyo anayedai Mama Salma ana wivu tunaomba usizilete hapa. ni comment za kudhalilisha wanawake.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 16, 2009

    Michuzi usinibanie hii tafadhali.

    Pamoja na kazi nzuri wanayofanya MEWATA, mimi nawaona hawa ma-dokta akina mama kama wajasiriamali wengine tuu kwani huduma zao na hasa katika kutoa huduma kwa akina mama wenye saratani ya matiti huwa ni ghali sana.

    Nilifuatilia kwa karibu sana ile kampeni yao ya Dodoma na Manyara ambayo ilikusanya pesa nyingi sana lakini kwa maoni yangu naona huwa wanajilipa very expensive. Wana-diagnise tuu, lakini huwa hawatoi dawa mind you.

    Je wanaweza kutoa mahesabu ya pesa yote ambayo wamekusanya hadi sasa ,na allowance wanazolipwa madaktari katika kutoa huduma kwa akina mama wenye saratani?

    Hivi Michuzi wewe kama mwandishi wa habari ukiandika habari umetimiza wajibu wako au jamii inapaswa kukuchangia kufanya kazi hiyo?

    Hawa madaktari wamefundishwa na hela zetu sisi walipa kodi, kwa nini waendeshe kampeni za kukusanya pesa za kuwawezesha wao kutoa huduma? I have reserved comments about MEWATA.

    Nawasilisha.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 16, 2009

    ...sio ndio?ata sura tu inaonyesha au ndo "consetration"

    ila uyu Dr na wezie wanachapa mzigo kiukweli jamani,,u deserve the trophy,,

    Mungu awabariki kwa kazi yenu,mtalipwa msipozimia moyo

    wanawake juuuuuuu

    ReplyDelete
  6. Cousin-LilyJuly 16, 2009

    Dr Marina hongera sana, we are all proud of what u are doing.God bless you and ur team.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 17, 2009

    Mdau hapo juu wa 10:22 sijui anafanya kazi gani ila ananishangaza sana anavyozungumzia suala la allowance kwa hawa madaktari wanawake wanaokwenda mikoani kuwahudumia kina mama wenye matatizo ya saratani ya matiti. Hawa madaktari wangeamua kutulia sehemu zao za kazi na ujuzi wao bado wangelipwa mishahara na wanawake sehemu nyingi wangeendelea kufa bila huo utambuzi wa saratani. Lipi bora? Wapewe motisha wawafikie wanawake wengi au wakae wanawake waendelee kufa. Acha wivu ndugu yangu weee. Mezani kwako hakuna chakula?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...