. Kikosi cha Libeneke United ambayo ni ya wabongo wanaoishi Algeria wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kumenyana na Congo DRC jijini Algiers
Hekaheka uwanjani. Hawa wakongomani walitufunga lakini chenga tuliwala!!

Libeneke United wakibadilishana mawazo baada ya mechi.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 13, 2009

    wadau wa Algeria poleni sana na mitutu huko . sikujua kama kuna wabongo wengi huko .. nauliza Mdogo wangu Twahir .. yupo ?

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 13, 2009

    ebwana!! namuona FAHAM na mkubwa SALUMU!! big up big up wana!!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 13, 2009

    Kwa kifupi Algeria ni waya sana. Karibuni wote wanakimbilia Ufaransa kila siku. Bora mrudi Bongo mnapoteza muda wenu. Elimu yao haijulikani kokote. Sasa sawa na kusoma Zanzibar University.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 13, 2009

    Jamaa mbona mwaonekana wachooovu, hamna hata nuru au mmekumbuka kwenu!

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 13, 2009

    Japhet Sanga mwandishi wa Daily News namwona hapo. Kaka vipi pizza inapatikana huko? Najua wewe mpenzi wa pizza sana.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 13, 2009

    huyu nani tena na DeGutaJi lake? huyo mdau wa kwanza nae akisikia algeria tswira yake inampa kuna mitutu.......wacha mi niendelee kula chabozz....

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 13, 2009

    ebana mdau hapo juu kwa taarifa yako Algeria hakuna waya wala nini mtu wangu.kama elimu yake haijulikani kwa serikali ikubali kupeleka wanafunzi wake kule!!??ukiongea vitu uwe na uhakika navyo na si kuchonga domo tu.tatizo watz hatufanyi utafiti kujua kitu kwa kina sisi wenyewe bali tunapata habari za kizushi na tunaamini tu.hatutaendelea kihivyo hata siku moja.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 16, 2009

    Ila mlifungwa mengi sana 9-2 duh,niliposikia nikajua kipa alikuwa Halima Msuya namba 5 sofia sokoni na sita ni Dadaa Rahma na 10 ni Irene kumbe ni madume tupu ndani ya uwanja,Taja,Twahir,Hadi amir ndani ya nyumba.

    Inshallah mwenyewi Mungu awalinde na mjanga mwaka huu.
    Amen

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 16, 2009

    Ah nyie vijana baba enu Mushokolwa bado yupo?na wazee wenyewe wa atsa kina Bandora,Mperella,Ringo,Mgweno,Dulla,Babu Haji,kina Saulo na MarcD mbona siwaoni,au nyie waganda mmeazina jezi za wabongo?????Tushawastukia nyie WADUDU sio watz

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...