Home
Unlabelled
mama pinda aalika yatima nyumbani kwake dodoma
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
i like mama pinda ni mmama simple asie na makuu.
ReplyDeleteJamani sungura (thungura) wanaliwa? Ni swali naomba jibu mwenye kuelewa. Asanteni
ReplyDeleteoooh how lovely and positive
ReplyDeletemama excellent with those innocent babies
Jamani hawa viongozi wetu wananyumba kila mkoa?? halafu mama unakibali cha kumiliki hao sungura kutoka maliasili!!!
ReplyDeletekwa uliyeuliza kama sungura wanaliwa, ni kweli wanaliwa na nyama yao ni tamu sana, binafsi naipenda sana nyama ya sungura. yaani hii picha leo nimekuwa nikiiangalia mara nyingi sana kwa sababu nami pia ni mpenzi sana wa kufuga sungura. halafu huwa nikichoka na kazi zangu basi naingia kwenye banda la sungura na kucheza nao, nawapenda sana hawa wanyama, napenda sana kuangalia wanapocheza. hongera sana waziri mkuu na mkeo kwa kufuga.
ReplyDeletewe utapendaje kucheza na sungura na hapohapo unawachinja bila huruma na kula nyama yao???
ReplyDeleteNini tofauti ya nyama ya sungura na nyama ya panya?
ReplyDeleteNi jambo jema sana alilofanya mama kwa watoto hawa.
ReplyDeleteI just hope that hiie ni nyumba yao kweli na siyo nyumba waliyopewa na serikali. Nilishaona viongozi kama wakuu wa mikoa au wilaya wanatumia IKULU walizopewa kufugia wanyama...those government houses should be respected! Can you imagine JK akianza kufuga ng'ombe kule ikulu?
kwa anano wa 08:26 pm. tofauti ni kwamba moja ni nyama ya panya na nyingine ni nyama ya sungura. Sungura na panya ni tofauti, mwenyewe umeshasema sungura na panya halafu unauliza.
ReplyDeleteHivi jamani naweza kuwa kama Madonna kuja kpata mtoto mmoja hapo!!naombeni mnieleweshe kama hao watoto unaweza kuchukua mmoja na kumtunza huku ulaya..mdau
ReplyDeletemdau wa Wed Jul 15,05:44:00 pm,make sure ureasearch kwanza, wazazi wake hawakawii kuibuka na kudai mtoto wao,halafu mkaishia kuburuzana kwa pilato...lol.
ReplyDeleteMmmhn..huu ufugaji sungura kwa gharama za walipa kodi ambao hata kuku wanakula siku ya sherehe tu ,mara chache kwa mwaka!!!Hata hakuna cha kusifu hapo.
ReplyDelete