mwandishi mahiri wa Ben TV ya London Ayoub Mzee akila konozzz na lady Jay Dee akiwa katika vekesheni fupi bongo
Ayoub Mzee katika mnuso usiku huu
Mdau Ayoub Mzee akila pozi na Othman Michuzi
akila konozzz toka kwa anko nanihii
Ayoub Mzee akiteta na Gadner G. Habash baada ya kuhudhuria bash la kila Ijumaa ukumbi wa Zhong Hua gaden anapotumiza Lady Jay Dee na Machozi Band Dar usiku huu.





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 15 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 18, 2009

    Big Up Lady Jay dee siku unapendeza sana.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 18, 2009

    Mkuu wa nani hii hilo kofia kakuletea Ayub mzee kwani hayo sio mapigo yako.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 18, 2009

    Mkuu wa wilaya ya Nanii naona hicho kitambi kinakujia vibaya. Fanya tizi, au ndio unahamia kwenye Upedejee? Naona mashavu dodo!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 18, 2009

    Ayoub Mzee, fanya mazoezi, weight hiyooo !

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 18, 2009

    jamani huyo ayubu mzee kwa wanaomjua hivi ana matatizo ya akili kidogo maana jamaa kujisifia kwingi yaani simuelewi.tulikutana nae ktk bash moja basi ohh mimi sijui nafanya kazi wapi mara totoz yaani mpumbavu tu.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 18, 2009

    mmependeza, ila duniani wawili wawili,mkuu wa nananii umefanana kidogo na Arlus Mabele, na A.Mzee kafanana na Notorious B.I.G( Christopher Wallace)ila tu A.Mzee na mkuu wa nanii ni more hendisamu dhani ze twu pipo menshenidi.

    Kingine:

    Kofia uliyovaa mkuu wa naniii ilitakiwa aivae A.Mzee na kofia aliyoivaa A.Mzee ingetakiwa uivae wee mkuu na nanii, naona hapo ingependeza sana kwani jaketi uliyovaa hiyo nyeupe ingeenda na kofia aliyova A.Mzee. na ukiangalia jaketi la A mzee linaendana na kofia uliyovaa wewe.


    P.E.D

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 18, 2009

    michuzi huyu Ayub Mzee mmefanana sana,hasa pua

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 19, 2009

    wajina naona ushaanza kumfundisha ayubu kuvizia minuso,kutua bongo na minuso.alafu wajina uyu ayubu ni yule ayubu mzee aliekua anaichezea simba sc?

    ReplyDelete
  9. Duh huyu Mzee Ayubu Mzee Ana Cool Lazy face

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 19, 2009

    Ayub Mzee si yule Mchezaji wa Simba.

    huyu ni wa hapa Uingereza ni mtu makini na mchapa kazi mkubwa hasa kuitangaza EAST AFRICA.

    MKE WAKE NAYE NI KADA MKUBWA WA CHAMA ANAITWA SUSAN MZEE.

    ReplyDelete
  11. AnonymousJuly 19, 2009

    Yaani mdau hapo juu hukukosea, kikweli Ayub M na mkuu wa nanihii wamefanana sana MAPUA.
    Ilikuwa Arusi ya nani?

    GJK

    ReplyDelete
  12. AnonymousJuly 19, 2009

    ayub mzee picha hii uko na Lady jeyde akiona mamsapu SUSAN MZEE utapona?

    ReplyDelete
  13. AnonymousJuly 19, 2009

    Acheni Uzushi, Wabongo SUZANE MZEE ni Mke wa MBARUKU na wanakaa READING, Ayoub Mzee mke wake ni mwingine kabisa ,sena surname zao Ayoub na Suzanne Ndio zimefanana ,hawana uhusiana wowote ule labda wa kichama ( C.C.M ) Kama upo nukta
    NI MTAZAMO WANGU TU
    Kidumu chama cha Mapinduzi...

    ReplyDelete
  14. AnonymousJuly 20, 2009

    Picha ya mwisho: Bwanae, vipi mbona pale umemshika mke wangu muda mrefu, kuna nini kinaendelea?
    `Hhaaa, acha wivu, mbona humuonei wivu akiwa jukwaani. hhhha
    'Ninatania ....

    ReplyDelete
  15. AnonymousJuly 20, 2009

    Angalau anko nanihii ulipendeza katika harusi hii, manake ungeniudhi na ze fulanaaaz

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...