hivi ndivyo teksi za dar zinavyoonekana sasa ambapo kila wilaya ina rangi yake. wilaya ya ilala ni kijani, kinondoni ni njano na temeke buluu. hii ni katika kurahisisha utambuzi wa magari haya. picha hii imepigwa kona ya mtaa wa mkwepu na samora avenue zamani maarufu kama salamander ambayo jengo lake limeshapigwa nyundo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 19, 2009

    Michuzi km sikosei hizo zilikuwa zimebadilishwa kuwa mikoa au zilirudishwa kuwa wilay tena? Anyway inawezekana maana Tz management sometimes inafikiri backwards.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 19, 2009

    hiyo system nimeipenda maana ata huku europe taxi zote zina rangi maalum ili kurahisisha utambuzi wa magari hayo ila kwa mabitozi wa bongo wanaotesa kwa kukodi taxi na kufanya magari yao sasa wameumbuka

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 19, 2009

    naona ilala na kinondoni ni YANGA tupu....

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 19, 2009

    Na wale Mabitoz wenzangu tunaonunua corolla kwa multi purpose.yaani ku kutanulia na kuiweka kijiweni ilete hesabu.tumeumbuka..Huu mstari noma kweli.hatuendi tena kwa watoto wa getini.hata ukibadili kibao cheupe to njano bado mstari unaumbua

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 19, 2009

    Hivi hii mistari anapiga mtu binafsi mmiliki mwenyewe au ni dili la VETA?aU NDO MAMBO YA MKANDARASI ALIYESHINDA ZABUNI?

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 20, 2009

    kwa sisi mabitozi mhh kwa kweli Noma lakini ninampango wa kuagiza Magnetiki stiker yenye rangi hizi ukiwa kiwanya unazitoa tu nipo ktk risachi suuni i wili kam beki from ze taxii owner driver

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 22, 2009

    mweeeeeee

    ila bei ya tax bongo dar balaa

    bora upigane na daladala tu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...