Home
Unlabelled
ngeleja azindua mtambo wa kushindilia gesi asilia leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Michu hivi hiyo PanAfrican Gas imetokea wapi? Maana nilipoenda kule Twiga cement wakati Rais anazindua mitambo mipya nikakuta hao jamaa wanahusika na gesi inayotumika tanuru mpya, na pia Songas wanahusika na gesi kwenye tanuru za zamani. Sasa ndio kusema PAG wao wametokea wapi maana hata jamaa wa kule twiga walishindwa kunijibu maana wanasema hata ikitokea jamaa wamechemsha kutatua tatizo huwaita Songas kurekebisha, inakuaje hiyo au ndio yaleyale?
ReplyDeletePAE ndio Songas au? Tungane bwana Michu maana yaonekana ulikuwapo hapo ukasikia utambulisho.
ReplyDeleteNgeleja alikuwa yanki handsome sasa naona siasa zinamzeesha
ReplyDeleteInafurahisha na ni hatua nzuri tumefika.
ReplyDelete1. wananchi kuja na mabango na kuruhusiwa kuwa nayo kwenye ziara ya waziri bila virungu vya FFU
2. Waziri kuwasikiliza wananchi wenye malalamiko (Sijui kama atafanyia kazi)
3. Wananchi kutotumia fujo kupeleka malalamiko yao kwa Mh. Minister
Kupishana Imani, Ideology, Mitazamo sio uadui, wapinzani na watawala wote ni watanzania, wananchi na watawaliwa wote ni watz, waislam/wakristo.wapagani sote tu ndugu, Tubishane Tukiamini sisi sote ni wamoja, Watanzania tuna haki sawa ya kuongoza, kuongozwa, kupata sehemu ya pato la taifa
MUNGU IBARIKI BONGO
Nijiavyo mimi PAE ndo wenye visima vya gesi songosongo. wanauza gesi kwa songas, na makampuni mengine kama tbl, twiga serngeti nk. songas ni wateja wa PAE.
ReplyDeleteuwa sielewi kabisa aya maswala,,me kila siku naona ni uzushi tu na kelele nyiiingi za siasa!!
ReplyDeleteivi why wamejenga mtambo mzito km uo apo ubungo??raiani na daraja kuu linalounganisha mji..sielewi
agghh..
huyo anaeongea kafanana na P DIDY
ReplyDeleteSiunajua tena, P. DIDDY nae si ngozi ya tak.. kama sisi!
ReplyDelete