JK akiwa na mgeni wake Rais wa Kenya Mh. Mwai Kibaki na mawaziri wao wakipozi na wafanyakazi wa ubalozi wa Kenya nchini baada ya Mh. Kibaki kuuzindua leo jijini Dar
jengo jipya la ubalozi wa Kenya nchini a.k.a harambee plaza lililopo kwenye makutano ya barabara ya Ali Hassan Mwinyi road na Kaunda drive


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 28 mpaka sasa

  1. Wadau huu ubalozi uko wapi? nataka nije nikaombe visa ya kwenda kenya, ah haaa

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 17, 2009

    Hili Jengo liko maeneo yapi hapo dar? Mkabala na wapi? Nitashukuru atayenifundiha/atakaenielimisha, Asante

    ReplyDelete
  3. Kaunda drive/Ali Hassan Mwinyi road. when you are coming from city centre, its few meter before Multichoice Tanzania

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 17, 2009

    Nadhani lipo oysterbay, barabara ya Ally Hassan Mwinyi kwenye kona ya barabara ya Kaunda

    ReplyDelete
  5. Lipo katika kona ya barabara za Ali Hassan Mwinyi na Kaunda (drive). Kama unatokea Mwenge kulekea Posta (Mwinyi road) hilo jengo ndio la kwanza/mwisho kabla haujaigusa Kaunda drive (kuelekea Oysterbay/Masaki. Nadhani anony (02:39:00) umenielewa. Tanzania (kupitia NSSF Tanzania )pia twajenga Tanzania House huko Nairobi
    http://www.dailynews.co.tz/columnist/?n=1955&cat=columnist

    ReplyDelete
  6. Tanzania (kupitia NSSF Tanzania )pia twajenga Tanzania House huko Nairobi
    http://www.dailynews.co.tz/columnist/?n=1955&cat=columnist

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 17, 2009

    Wa Tz bwana, kwani mashindano??? Si lazima tujenge nasisi; labda ikitumika fedha iliyorudishwa na mafisadi.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 17, 2009

    Tarehe Fri Jul 17, 04:34:00 PM, Mtoa Maoni: tanzanianboy'
    Asante sana. Lakini sijaelewa sawa sawa kwani haya maeneo ni ya ofisi au makazi? Je hapo kona au junction ya kaunda drive/mwinyi highway (ha ha ha) si ndio dala dala zinapindia kwenda masaki? Si ndio hapo alikuwa anakaa spika (late) mkwawa na jirani na msekwa? nifahamishe, usichoke!

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 17, 2009

    Kwa wanaotumia dala dala hilo jengo wanalijua sana. Liko pale zinapoingilia dala dala za Masaki.

    Tanzaniaboy nimefurahi kusikia kwamba Bongo na sisi tunashusha kitu Naii ... maana matusi haya lazima tujibu.

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 17, 2009

    JAMANI HV CC 2NAJENGA BALOZI ZETU NJE ZA NJE NZURI HV WAKATI BAADHI YA WZR ZE2 CHOKA,KWEL ZIMETIMIA KWA HEAD.sasa huo ubalozi na gari ya odinga si zimepishana kidogo tu,ndo 2mepunguza ma2mizi kweli?aaah wakenya tumetokota au wa tiziii unasemaje

    ReplyDelete
  11. AnonymousJuly 17, 2009

    jengo nzuri sana jamani, wenzetu pamoja na vurugu zao lakini mambo yanakwenda mbele.Hawana akina 'MAHALU' wengu kama sie hapa TZ


    Mangi wa K'koo

    ReplyDelete
  12. AnonymousJuly 17, 2009

    Ubalozi wa Tz Ug. choka mbaya!

    ReplyDelete
  13. AnonymousJuly 17, 2009

    Hapa DC ni aibu tupu,hadi bendera yetu imepauka rangi.Tunashindwa kuweka hadi bendera mpya.Yaani kimtaa chenyewe kimebana sana pale R-street.Kajengo kenyewe kalijengwa karne ya 18.Ningependa kuwawekea picha wadau lakini naogopa mtapata nightmare,wakati US ndio inatoa msaada mkubwa kwa TZ kuliko nchi zingine.Michuzi naomba tuwekee picha za balozi zetu zote ili tujioonee ikiwezekana tupige kura upi mzuri kuliko yote na upi mbaya kuliko zote.

    ReplyDelete
  14. AnonymousJuly 17, 2009

    Wenye kulilia vya usasa, hamtaendelea! Kikizeeka tu, tupilia mbali. Ego-satisfaction = now and right now!

    Baada ya miaka mitano, bomoa, jenga jipya! Tunashindana kukogana! Ni nani mwenye latest model na hali vingine hatuvitenegezi!

    ReplyDelete
  15. AnonymousJuly 17, 2009

    Naungana na anon hapo juu, yaani ni aibu ubalozi wa TZ pale DC, huwezi jua ni ubalozi au ni jumba la maonyesho. mdau pls dont show this pic watu wataota kweli si utani.

    ReplyDelete
  16. AnonymousJuly 17, 2009

    Great idea anony wa 07:24. Anko Michu, tafadhali kama unaweza tupatie taswira za balozi zetu zilizopo nje ya nchi. Balozi zetu ndio image ya nchi yetu tuipendayo. Hivyo basi, tuboresheni jama!

    ReplyDelete
  17. AnonymousJuly 17, 2009

    mithupu weka na picha za ubalozi wetu Kenya plz!

    ReplyDelete
  18. Lusanga MdeeJuly 17, 2009

    Kaubalozi ketu pale Dc ni aibu tupu...kuna kakepeti chekundu kamechoka ile mbaya, halafu kuna kamlango kwenda kwa receptionist nako kamechoka kama mbavu za mbwa, na ile chandalia aibu tupu...kuna vibalbu kama 50 lakini labda 30 ndio vinafanya kazi...halafu kuna vijitabia ujinga kwa wafanyakazi hapa sio mchezo...maana wanamajibu yakuchosha ilembaya. Kabendera kamechooka na hakitabadilishwa ili kuthibitisha kuwa tuko hoi na tunahitaji misaada.(Michuzi ibanie na hii)

    ReplyDelete
  19. AnonymousJuly 18, 2009

    Wote mmeongea na kusahau kitu kimoja, US wamejenga bonge la Ubalozi bila ya nyie kuuliza maswali muhimu kama je jengo kubwa kama hilo la nini? jibu ni moja, ku-spy Tanzania na Africa kwa ujumla.

    Mmefanya kosa lingine kwa Kenya, nao hivyo hivyo Wamejenga bonge la ubalozi lenye nia kubwa na moja ya kuongeza mashushu watakao kuja kuichunguza Tanzania kwa ukaribu.

    Wabongo hayo ndio mambo ya kujiuliza na sio kuangalia uzuri wa jengo, cha msingi ni kwa Serikali kuwa karibu na macho kwa balozi zote, Hakuna ata moja ninazo ziamini haswa haswa watu wenye kubeba majina kama diplomat..

    It is time to wake up.

    ReplyDelete
  20. AnonymousJuly 18, 2009

    Maendeleo ni fikra za watu; haya majengo si lolote si chochote.

    ReplyDelete
  21. AnonymousJuly 18, 2009

    ni nini kimewavutia bongi wakaamua kuinvest that much?

    sisi mweeee maubalozi yetu ni kwenye briefcase tu ....teh tehtehhh...mnamkumbuka yule baba aliyekua na form za kuomba passport mpya....mwenyewe kapangisha kwenye motel...unaingia anafungua briefcase yake anatoa form chwaaaaaa lipa shughuli inaisha.

    Nadhani hata ile motel siku ile ilijiuliza mbona leo kuna traffic hivi...watu wanaingia chumbani na kutoka na makaratasi...naona walishindwa kuelewa kwavile kama ilikua biashara ya massage basi walikua wanapewa wanaume kwa wanawake

    ReplyDelete
  22. AnonymousJuly 18, 2009

    Haaa, Anko Michu! Siamini comment yangu umeibania au nlikosea kutuma. It was only an idea though, atleast tuone taswira za balozi zetu nje ya nchi zikoje! Anyways, wikiendi njema.

    ReplyDelete
  23. AnonymousJuly 18, 2009

    NCHI MASIKINI SINAPOTEZA PESA ZA WALIPA KODI PASIPO SABABU, WAKATI WATU HAWAENDI SHULE, HAMNA DAWA KWENYE VI-CLINIC, HAMNA MAJI SAFI, HAMNA BARABARA, WATU HAWAFUNDISHWI KILIMO BORA NA BIASHARA NDOGONDOGO, HIVYO NI VYANZO VYA KUTOLESHEA PESA WAKUBWA, MAHESABU YANACHANGANYWA HUMO HUMO, KWANI WAKIJENGA TWIN TOWER NYUMBANI WATU WATAFUATILIA MAHESABU HEWA HUKO MBALI WANAKULA KAMA VILE KUMSUKUMA MLEVVI AU KUSUKUMA TEMBO KWA UBUWA, NI WIZI TU.

    ReplyDelete
  24. AnonymousJuly 18, 2009

    Anonymous unaeyezungumzia USA na u-spy, USA hahitaji kuwa na ubalozi kufanya u-spy, wana kila aina ya vifaa ya kujuwa kila kitu kinachoendelea katika nchi yoyote hapa duniani. I am here ughaibuni lakini naina nyumba yangu huko Mbongo/Mbezi Beach kupitia sattelite maps za wa USA sasa hujiulizi walifanyaje, naona hata nyumba za kijijini kwetu MTWARA na hata kibanda cha mzazi wangu kinaonekana, sasa hawa watu wanahitaji ubalozi kufanya upelelezi????

    ReplyDelete
  25. AnonymousJuly 18, 2009

    LMFAO? Barabara ya Ali Hassan Mwinyi road! shule muhimu jamani

    ReplyDelete
  26. AnonymousJuly 18, 2009

    Hahahaha kweli shule muhimu Mtaa wa Kajima Streets kwakwakwa Barabara ya Ali hassan Mwinyi Road(barabara).

    ReplyDelete
  27. AnonymousJuly 19, 2009

    Mdau wa Tarehe Sat Jul 18, 03:21:00 AM, Kuna aina mbali mbali za ku-spy ukitegemea satellite peke yake utauziwa kanya boya, angalia Iraq, walisema Sadam ana WMD's! zipo wapi? So ktk kufanikisha kile unacho-spy unahitaji pia manpower ktk sehemu husika watakao ku-feed kila issue in details...Satellite hizo hizo zimeshindwa kugundua N. Korea ana bomu mpaka pale walivyo fanya test not only once but two times, without forgeting Iran as well...aahahha..Siongei sana, bali ni hayo tu.

    Nazungumzia kwa kutumia experience.

    ReplyDelete
  28. AnonymousJuly 19, 2009

    ...........Barabara ya Ali Hassan Mwinyi road?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...