Home
Unlabelled
vijana waendelea kuvinjari china
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Nauliza tena maana sikujibiwa hapo awali. hawa vijana walichaguliwa chaguliwaje? ni vigezo gani vilitumika kuchagua vijana hawa? au ilikuwa ni kujuana tu? jee ni kutoka katika kundi fulani tu? jee wanatoka katika mikoa tafauti ya tanzania? jee kama wamechaguliwa kisiasa jee wametoka katika vyama mbali mbali vilivyo halali tanzania? na mwisho kabisa jee watoto wa walala hoi wamo katika msafara huo? asanteni.
ReplyDeletewanaweza wakawa wote ni ndugu, cousins, and friends si unajua tena TZ undugu kwanza! halafu wanawake wa bongo kwa kanga hawaziachi nyuma! hata china?
ReplyDeleteannon #1
ReplyDeletenajiuliza pia...
sielewi hii blogu mbona huwa haijibu maswali ya msingi kama haya,ilhali ndio imeleta hii newz sijui wanafikiri ni cartoon tunavotaka maelezo km hayo?
michuzi vipi?sema ata km umefatilia au unafatilia au hawajakupa majibu kwa sababu zao.
uhuru wa habari mfinyu sana bongo
lol
maskini hawa vijana wa kitanzania wanaonekana kabisa wametoka kwenye umaskini hawana hata camera,nimeona vijana kutoka uk au us ambao nao wamekuja huko,yaani karibu kila mtu ana nondos kama zako bwana michuzi za kuchukua kumbukumbu,all in all i thing they both enjoyed the tour
ReplyDeleteingekuwa hiyo ni bongo basi ingefungiwa kuingia,walipa kodi wangeingalia kwa nje kama mnazimmoja
ReplyDeleteJIBU kwako anoni uliyeuliza swali katika first comment hapo juu.
ReplyDeleteJIBU SAHIHI
Hapana, walalahoi si sehemu ya vijana hawa. wote ni watoto watokao kwenye familia zenye mtandao mzuri na mpana mawizarani. uchaguzi wa vijana uliegemea zaidi kwenye vimemo vilivyotokana na vijana wengi watoto wa wajulikanao kuomba kuwemo kwenye msafara.
pia katika kundi hilo wamo vijana wafanyakazi katika idara mbalimbali wizarani.
ni aina fulani ya bahati ya kiutalii ambayo raisi wa china aliitoa kwa vijana hawa. haikuhitaji mchakato kuwapata!!
ahsante
Nakumbuka wimbo wa Mr NICE - kila mtu na demu waaaaake!! picha namba 1. waosha vinywa munasemaje?
ReplyDeletewanaoitwa Vijana kula China ukiwaona kwenye picha ukawalinganisha na vija wetu wa kutoka bongo wa huko china wanafaa kuitwa watoto, lakini wasikilize akili kunkichwa
ReplyDeleteWewe Anonymous wa Kwanza..hapo hakuna watoto wa walala hoi. Ngoma kama hizi lazima uwe na connection au God father akupigie pande.
ReplyDeleteharufu ya upendeleo...
ReplyDeletemweeee