wabogojo akifanya vituzzzz

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 13 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 12, 2009

    Hii nimei-twit na kui-fesibukisha maana inahitaji kuonwa na wengi.
    Asante bro Michu kwa taarifa na burudani!

    ReplyDelete
  2. dah imekaa fresh amakweli ni kipaji maususi sana

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 12, 2009

    Kweli jamaa anatisha eeh,watu kweli wanajua kutafuta liziki,hao ndo wakupiga tafu kimaisha, sio hao mafisadi wanaozidi kudidimiza inchi tu.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 12, 2009

    Enzi za zamani (miaka ya 70 na 80) nilipokuwa kiongozi wa genge la wizi wa kuingilia madirishani, tulikuwa hatuwezi kupenya kwenye madirisha yenye nondo mpaka tuvunje dirisha au tutumie jeki ya gari kupindisha nondo. Hii ilifanya kazi yetu kuwa ya hatari zaidi. Kama tungempata huyu mchizi enzi zile saa hizi ningekuwa tajiri wa kudumu.

    ReplyDelete
  5. Yaani jamaa akiingiza kichwa sehemukikipenya basi....mwili mzima unaingia ndani

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 12, 2009

    Haluu huyo kijana inabidi aletwe kwenye America have got Talent, cauz that is the talent he need to live his life and he has a lot of potential, namkumbuka alikuwa back-up dancer wa Mr. Nice if I am not mistaken.How can someone's body pass through the Tennes Rack, Serena and Vanesa Williams they need to see dat guy for sure.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 12, 2009

    Huyu anamapepo huyu muombeeni! LoL

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 12, 2009

    Poor guy sio ajabu halipwi hata kitu ila he don`t care coz he like doing it.

    ReplyDelete
  9. Jamaa kama nyoka vile, kichwa kikipenya tu na mwili wote umepita. Kkwikwikwikwikwi. Kweli jamaa angefaa sana kupenya kwenye madirisha.

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 12, 2009

    Hivi ni macho yangu tu au jamaa anataabika kutimiza mbwembwe zake? kama anafanya hivyo kuchekesha hakuna shaka lakini Health and safety muhimu sana hapa.

    ReplyDelete
  11. AnonymousJuly 12, 2009

    mwangalie vizuri kavaa nini shingoni.

    ReplyDelete
  12. AnonymousJuly 12, 2009

    Hiyo anayotumia ni strech rackets yaani hicho kidude anachotumia kinajivuta .. hivyo msishangae sana ni ujanja tu huo

    ReplyDelete
  13. AnonymousJuly 13, 2009

    Michuzi, if you can weka hii youtube... you neveer know! kwa idhini yake lakini.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...