Home
Unlabelled
vodacom yaendelea kumwaga madawati mashuleni
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Du!Vodacom kwa kweli mnasaidia coz mnapata toka kwe2 na mna2rudishia kiaina.Ila mimi namfagilia sana huyu dogo Nkurlu,dogo ni kichwa na anajua namna ya kuishi na wa2 na kazi yake inaonekana hana mzaha na kz yake ukimzingua anakuzingua kiukweli kweli na yanaisha hapo hapo kwa kweli Voda angalieni hicho kichwa wa2 wengi wanakiulizia mimi najua,na media nzima tz wanamkubali nazani dogo kamrithi kila ki2 marehe baba yake ambae alikuwa mwandishi wa Mkapa.Dogo piga kazi na upo juu,ila usiende kwenye mambo ya siasa.
ReplyDeleteHivi kwa nini watoto wetu bado wanakaa chini iwapo Madawati 80 yanagharimu Milioni 6 tu?
ReplyDeleteVodacom ina mameneja wengi sana ila kwa sababu ajira wanatoa kwa Watanzania haina noma. Sasa na mimi baada ya kubeba box na kufagia kwa karibu miaka sita nategemea kurudi home. Naomba nipewe Umeneja Usafi hapo Vodacom. Michuzi nipigie ndogondogo basi.
ReplyDeleteMatina naona unauza sura hapo. Any ways Afisa habari naona mambo sio mabaya
ReplyDelete