mdau wa mwananyamala (shoto) akiwa na wadau wa houston, frank (kulia) na gasper kwenye dina la mchana la ubwabwa kwa 'jirambe' waliloandaa wadau hao wa texas ambao wako vekesheni bongo katika mgahawa wa break point ya mjini
anko nanihii akipiga konozzzz na wadau wa houston ambao wako vekesheni bongo. inapendeza kuona wadau wa diaspora wakitia timu bongo mara kwa mara...


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 20 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 29, 2009

    anko nanihii, where is the fulanas? Hupendezi bila the fulanas. Weka za fulanas hata kama joto iko mbinde kiasi gani. Naomba kutoa hoja

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 29, 2009

    Nasikia Gym nje nje marekani. Kulikoni huyo mwenye Yanga kanenenepa hivyo?

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 29, 2009

    ben hujambo?

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 29, 2009

    HAPA UMENISHANGAZA MICHUZI WEWE NDIYE UNAONEKANA KAMA UMEKUJA HIYO VAKESHENI NA HAWA JAMAA WANAONEKANA KAMA WAPO TU HAPAHAPA DAR, SASA HII IMEKAAJE AU MA BOX YAMEKATA WASHIKAJI WANA WAZA?
    JAMA KWELI KIMBANGA NAZI NOMA

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 29, 2009

    Wewe anony 10:02. imekuwaje ukaniwahi? Pamoja na kubeba maboxes bado huyu mwenye fulans ya Yanga ana kitambi! Na wakati maboxes ni sehemu mojawapo ya mazoezi. Ukirudi Marekani inabidi upunguze kula makuku. Una ufanye GYM kweli kweli, make unakaribia kulemewa. Haya kazi kwako.

    Mdau USA

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 30, 2009

    BOX USA =$2000 PER MONTH
    DR WA BONGO= $500 PER MONTH
    ANY COMMENTS?

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 30, 2009

    matokeo ya chicken skin hayo! jamaa kama analowekwa kwenye pipa la mafuta, too much oil! haaa

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 30, 2009

    Jamani Michuzi ur blog is the bomb!Hivi huyu ni Bern I had a crush on?Ahh Bern kama hujaoa tuwasiliane basi!Mmichuzi naomba no ya huyo kaka mwenye polotshirt anaitwa Bernard.Huu sio utani michuzi.Sijamuona kwa miaka kama 10.Asante kwa kutuonyesha rafiki tuliopetezana miaka mingi.Please Michuzi usinitupe kapuni.

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 30, 2009

    BOX LA KISHENZISHENZI UK NI POUND 1250/MONTH KAMA $2500 HIVI. ILA UKIPATA BOX LENYE AKILI HAPA UK UNAKULA HADI POUND 2000/MONTH SAWA NA KAMA $4000 FLANI HIVI/MONTH. HALAFU LAIFU IKO POA TU

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 30, 2009

    kaka ben mkanzabi upo?

    ReplyDelete
  11. AnonymousJuly 30, 2009

    Nakuona Profesa wa Hananasif, miaka mingi Prof tukutane pale ktk mbuyu mkubwa Hananasif.

    ReplyDelete
  12. AnonymousJuly 30, 2009

    Anony uliyetaka comments kuhusu
    BOX USA=$2000
    DR BONGO=$500
    Try this;
    A gallon of milk USA = $4
    A gallon of milk Bongo = $1

    ReplyDelete
  13. AnonymousJuly 30, 2009

    Hey, ni kweli jamaa wanaonekana wamekaa sana Bongo, ni muda wa kurudi USA. Kitumbo cha mwenye yellow labda kakipatia Bongo kwenye vacation. Tusibweteke, zoezi muhimu, don't keep something you don't need in the belly.Uvivu wa kwenda uani waweza kuwa factor. FirePower, UK

    ReplyDelete
  14. AnonymousJuly 30, 2009

    Anony Jul 30 05:27 pm
    Kama unataka kulinganisha maisha ya bongo na USA the akili zako hazina akili,mimi nimeishi hapo na nilikuwa na kazi nzuri tu.tatizo la bongo hakuna in between ni either unatesa au umechoka lakini huku kwa wenzetu hata ukipigika mahitaji muhimu hukosi i mean huku kuku si anasa.ni asilimia ngapi ya wabongo ambao wanaamka asubuhi hawana uhakika wa kula.unaweza kubaba box huku na ukajenga bongo kwa taarifa yako mbeba zege huku anamake kuliko mfanyakazi wa bank.

    ReplyDelete
  15. AnonymousJuly 30, 2009

    Duuuuuuu!!!!!!!!!!!!
    Kweli wabongo bwana tupo tupo tu mtu anakaa mtoni lakini hana tofauti na mtu wakuja toka Kilwa au mpanda hivi....Pamba state njenje kama hela haitoshi changamukia sale basi , the fun... thing hawaoni aibu wana-pose siyo eti wadau wa Huston ...du jamani JK kazi ipo......
    haya bwana vocation njema bongo..
    Mdau wa Pamba..

    ReplyDelete
  16. AnonymousJuly 31, 2009

    kaka michuzi wengine ndio wamefika hapo bongo sio vacation wala nini ndio wametinga bwana

    ReplyDelete
  17. AnonymousJuly 31, 2009

    Jamani mnaondoka lini?, nataka niwatumie vitumbua mashoga zangu Aisha na Rosemarie Mlekwa

    ReplyDelete
  18. AnonymousJuly 31, 2009

    Annyoy wa box $2000 marekani ...na rent sh ngapi hapo? bado gari.insurance ( oh sorry kumbe unaendesha mkweche)
    na hao watu mnaodai wanakaa majuu mbona choka mbaya yaani hata wabongo wanagaa au ndo maboksi yamewachosha???

    ReplyDelete
  19. Tufanye hivi,chukua statistics za diaspora kisha angalia financial fitness yao, kisha angalia jinsi gani wanaweza kuinua uchumi wa Tanzania ambao unanuka, acheni ushamba wa kuangalia watu walivyovaa and stop judging the book by the cover.Maisha popote na mkifanya hesabu za maana mtaona mchango wa diaspora ni muhimu kwa Taifa.

    ReplyDelete
  20. Bernadi,
    Vipi wewe...maisha yakupelekaje Bongo?
    Baba Moi hapa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...