zakhia yasin kapalata akiwa anametameta katika chiken pati yake usiku kuamkia leo ukumbi wa utoji jijini dar. chini akiongoza mduara wa kufungulia dansi. zakhia anatarajiwa kumeremeta rasmi wikiendi ya wiki hii



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 30 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 13, 2009

    Mpambaji aliyemremba mwali AMECHEMSHA VIBAYA SANA....huyu binti amejaliwa FULL-LIPS hivyo hakupaswa kabisa kupakwa lipstic inayo-shout kiasi hicho!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 13, 2009

    niimependa nguo yako sana. al d best kwenye ndoa yako.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 13, 2009

    the dress is real stunning..hebu nigee hiyo nguo umeshoneshea wapi atleast contact nipate pendeza kwenye sendoff yangu August mwezi ujao shost. UMEPENDEZA SANA KIVYAKO VYAKO MANAKE

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 13, 2009

    Najuwa ni jina lako ila si Zakhia ni Zakia tatizo mnapendam ajina ya kiarabu mnafikiria mkiweka khia ni kiarabu ni Zakia. Umependeza mashallah.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 13, 2009

    CHICKEN PARTY......ni sawa hiyo mwandishi au.....

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 13, 2009

    Michu,

    Nina mambo mawili ambayo nigeomba blog ya jamii tuyazungumzie kutokana na habari hii:

    Mosi, jee hiyo ilikuwa ni "chicken" au "kitchen" au "pati ya jikoni"? Tutumie maneno yapi ndugu zangu watanzania? Michu au ndio wewe unaepotosha kiswahili chetu? Au ndio tuseme lugha yetu ya kiswahili haijua vema bado tuko kwenye jitihada za kukiboresha?

    Pili, wajamaa au ndugu zangu, sisi watanzania tuna pati za namna hii au ndio mambo ya siku za kale ya kumtoa mwana yamebadilika?

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 13, 2009

    mmmh! dada kapendeza sana halafu ni bomba huyo! lakini haijafikia ile ya last week kwenye pikipiki! those pics are still in my head! never go away!

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 13, 2009

    jamani kusema ukweli huyu dada kapendeza na nguo yake,dada umeshonea wapi hiyo nguo jamani

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 13, 2009

    MBONA HUKO TZ HAKUNA MAMBO YA KITCHEN PARTY ZA BWANA HARUSI, SISI HUKU UK KUNA KITU KINAITWA STAG PARTY IN MAANA NI YA WANAUME TU! BWANA HARUSI ANATOKA OUT NA MARAFIKI ZAKA NA NDUGU ZAKE WA KIUME WANAKULA MAAHALI KAMA BAR AU RESTAURANT! HALAFU PI YA WADADA INAITWA HENNY NIGHT NI KAMA TU !CHICKEN PARTY ZA BONGO, WADADA WANATOKA! WHAT DO YOU THINK WANAUME?

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 13, 2009

    michuzi tulikuomba mawasiliano ya ile HARUSI YA PIKIPIKI KULE KIJIJINI ili tutume zawadi zifike

    umetubaniaaaaa??????

    ReplyDelete
  11. AnonymousJuly 13, 2009

    ni sahihi chicken party, ambapo huku Uingereza bibie mtarajiwa hutoka na mashoga zake kwenda kujiliwaza kabla ya harusi.

    Ili chicken party ya bongo sijui kama ni za huku Uingereza ambapo bibi harusi mtarajiwa hufanya kufuru kwa kunywa na asipoangalia atajikuta anaamkia ktk kitanda asichokijua.

    Ila kitchen party ni 'kufundwa' jinsi ya kuwa mama anayemiliki familia.

    Mdau
    Charles Dickens
    Hackney-London

    ReplyDelete
  12. AnonymousJuly 13, 2009

    Anony wa 5.16 wa Uk, basi wenzio sisi huku waja leo waondoka pati hizo za wanaume tunaita ndundu party. sasa hapa wanaume wanamsaidia mume mwenzao kujaza sanduku la bibi harusi wee inapendeza mwanawani

    ReplyDelete
  13. AnonymousJuly 13, 2009

    Wanaume kwa kuficha yao hawajambo.huyo mdau anayesema bibi harusi mtarajiwa anaweza kuamkia kitanda asichokijua? kwani Stag night mwanaume si anaweza aamke kwenye kitanda asichokijua, tena wanaume ndo zaidi manake analetewa stripper wa kujivinjari nae cha mwisho mwisho akiwa bachelor..wengi wanaishia kutemwa na bibi harusi watarajiwa mara wakibaini kuwa alijivinjari kwenye Stag Night.hahahah...

    ReplyDelete
  14. NautiakasiJuly 13, 2009

    ...Somo yake biharusi hebu nitafutieni,nakungwi lake harusi wote wajehapa uwanjani, tuje tumfunze mwari malezi yakizamani, unapopelekwa kwako mama unapofika nyumbani, ukacheke na mumeo umpumbaze chumbani, wakaja na ndugu zako wakaribishe nyumbani, wakaja mawifi zako mama uinuke kitandani,wanapo kuja wakwezo uwaweke ukumbini, wakaja shemegi zako mama uwaweke barazani, wakaja mashoga zako sema nao dirishani, wakikuaga kwa heri uwambie karibuni, ufunge mlango wako urejee kitandani, ukiisikia hodi ushungi uwe kichwani, huenda akawa mumeo mama usimkere moyoni, kama ndie ".. Bwana pita" kwa sauti ya huzuni, umkande kande mabega mume kachoka kazini, huku ukicheka cheka na macho yawe laini...!

    ReplyDelete
  15. AnonymousJuly 14, 2009

    Jamni sijui "lip in shout", jina lake sio Zakhia" Yote hayo ya wenye roho za korosho tu

    Mbona hamsifiii gauni lake? This is a stunning, beautiful and very elegant drees.
    Na kama limeshonwa na mtanzania basi huyo fundi ni wa kutupiwa jiho. Nguo kama hizi ndio za kupelekwa kwenye maonyesho ya kimataifa.

    Zakhia I don't even know this lady but you know what? Let them talk, you look good sweetheart....
    Miss Remington

    ReplyDelete
  16. AnonymousJuly 14, 2009

    Kila mtu anasema huyu dada kapendeza, hivi kwani hamumuoni kuwa ni mzuri?

    Hata asingevaa kivazi hicho bado ni bomba ile mbaya.

    ReplyDelete
  17. kalumekengeJuly 14, 2009

    'Nautiakasi' wewe ni mtoto wa mjini sana tena ni mjanja sana kumshinda michuzi hahaaaa. kwanza hilo jina lako tu mimi huwa lina niacha hoi sana. ulipotea na sasa umerudi tena, karibu sana Ngw'anawane!. Hilo shaili la Isa Matona ni kiboko sana ila ile sauti si ya husuni bwana husemwa kwa kubana pua, hebu baneni pua mseme 'bwana pita' safi sana ..hahahaaa Nautia kasi '''Nikiendelea sana hapa mimi ndiyo nitakaye adhibiwa na michuzi kwa sababu sinta ona mwanga wa blog.. hahahaa..Nautia kasi. hahahahaaaaaa.(MICHUZI NA WEWE UMEZIDI UKALI MPAKA BLOG INA BOA, KHA....!

    ReplyDelete
  18. kalumekengeJuly 14, 2009

    Nautia kasi bwana, hii hapa link ya Issa Matona. bonyeza hapa enjoy..http://www.eastafricantube.com/media/488/Issa_Matona_-_Kimasomaso/

    ReplyDelete
  19. AnonymousJuly 14, 2009

    michuzi kaka, kiukweli kabisa tunaomba tupate contact za dizaina wa nguo na mwali wetu ili tumpe kazi. coz yuko serius na profesheno yake. plz. dada hongera

    ReplyDelete
  20. Hongera dad Zakia umependeza sana !!!!Hiyo nguo umeshonea wapi??naomba contact za mshonaji pls nitumie kwa appletunda@yahoo.com

    ReplyDelete
  21. AnonymousJuly 14, 2009

    mdau unaejidai uko uk umechemsha big time

    ReplyDelete
  22. AnonymousJuly 14, 2009

    halooooo rusha rohooo,kidole juu mwanamke nyonga babu,makalio majaliwaa

    bibie saaafi sana ongoza msafara kwa raha zote za kike

    ReplyDelete
  23. AnonymousJuly 14, 2009

    Jamani mimi nataka contact za fundi aliyeshona hii nguo, PLEASE TUTAMTAFUTIA DEAL HUKU MAJUU ANGALAU ATENGENEZE DOLA

    ReplyDelete
  24. Naupunguza kasiJuly 14, 2009

    Imebidi nitumie siku nzima kumwangalia huyu mwanamke mpaka nikauona uzuri wake. she is real beautiful. Na iwe unapesa asipate taabu ya maisha magumu uta-enjoy sana. wewe fikiria mwanamke kama huyo nje inanyesha mvua na kuna kaubaridi kwa mbali na iwe kesho yake ni Jummamosi, unataka upewe nini tena? na pesa ipo. weweee! ngoja nikomee hapa sababu sintaona mwanga wa JUA. hahahaa(Michuzi utafikiri tuko jela adabu mtindo mmoja teteteteee)

    ReplyDelete
  25. AnonymousJuly 15, 2009

    Dada Kachinja Kuku/umependeza nguo nzuri.Hongera.

    ReplyDelete
  26. AnonymousJuly 15, 2009

    kaka michu jamani naomba namba ya simu ya huyo fundi alieshona hiyo nguo kwenye aminata.saguti@hits-tanzania.com....yaaani its realy stunning

    ReplyDelete
  27. AnonymousJuly 15, 2009

    weee ivi mumeo kakuruhusu kujitundika umu???

    afu wee balozi mbona watu wakiombaga contacts uwa huweki??nashangaa sana

    ReplyDelete
  28. AnonymousJuly 15, 2009

    Dah ila huyu binti ni mrembo. mzuri mno. sijui kama jamaa atamudu kuendeleza urembo huo. akishindwa tutajitokeza kusaidia.

    ReplyDelete
  29. AnonymousJuly 15, 2009

    Okay mimi nimechanganyikiwa kidogo hapo juu,UMESEMA CHICKEN PARTY? na je KITCHEN PARTY itafanyika lini?

    ReplyDelete
  30. AnonymousJuly 15, 2009

    Mzee wa STAG sisi huku tunaita an excuse to go out with a stripper and misbehave.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...