Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dk. Batilda Buriani wakitembelea Bandari ya Uvinja katika Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Mheshimiwa Deogratias Ndunimana Waziri wa maji na Mipangomiji Burundi wakati wa Mkutano wa Tatu wa Nchi Zinazounda Mamlaka ya Usimamizi wa Endelevu na Ziwa Tanganyika HIvi Karibuni
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dk. Batilda Buriani wakitembelea Bandari ya Uvinja katika Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Mheshimiwa Deogratias Ndunimana Waziri wa maji na Mipangomiji Burundi wakati wa Mkutano wa Tatu wa Nchi Zinazounda Mamlaka ya Usimamizi wa Endelevu na Ziwa Tanganyika HIvi Karibuni

Mash Allah Dr. Burian huwa unapendeza sana
ReplyDeleteHuyo mwenye suti nilidhani John Mashaka.
ReplyDeleteUvinja au Uvira jamani? Au jina lilibadilishwa? Eneo hilo siyo DRC isipokuwa inapakana na Bujumbura? Maana nashangaa iweje Mheshimiwa Buriani apigwe tour na Waziri wa Burundi maana nilitegemea mwenyeji wa DRC ndiye angafanya hivyo. Au sielewi?
ReplyDeletekikwetu uvinza ni matusi...
ReplyDeleteau nimekosea!
We Anon wa 02:16 kikwenu kipi? Chiswahili au? Kwani wewe Mnyakyusa. Hakuna "f.." pale ila ni v utasemaje kikwenu ni matusi. Acha hizo
ReplyDelete