akiwa vekesheni hapa bongo nyota wa mpira wa kikapu hasheem thabeet ana usafiri na ulinzi maalumu. leo asubuhi alikuwa katika mahojiano katika kipindi cha michezo cha kila jumatano cha radio one kinachoandaliwa na mtangazaji jezi namba tisa mgongoni maulidi baraka wa kitenge. pamoja na mambo mengine hasheem ametoa wito wa wachezaji wa kila mchezo wawe na chama chao cha kutetea maslahi yao

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 15 mpaka sasa

  1. Naomba mnitoe ushamba wadau: mbona mimi huwa eti nasikia walinzi (bodyguard)huwa wanatakiwa wawe warefu juuuu zaidi ili waone na ikibidi wakinge kama silaha yaani wa take cover asidhurike, sasa hawa watafanyaje technically jamani???? kwa sababu mimi naona hapa mlindwa yuko hewani zaidi zaidi au sijaelewa mada?

    ReplyDelete
  2. Kwa kweli hawa walinzi wana kazi ngumu sana. kumlinda mtu mrefu hivi si kuwatafuta lawama maana wa kwanza kutunguliwa atakuwa mwenyewe.

    ReplyDelete
  3. Hao sio walinzi/bodyguards. Hao ni wapambe

    ReplyDelete
  4. Heee makubwa jamani..........kwanini alindwe? Kfnabo

    ReplyDelete
  5. Mweee..kazi kweli kweli kuchangia humu maana hizi lugha loh! mlisema ana ULINZI MAALUMU sasa kumbe mlimaanisha WAPAMBE, huko mtaa mwingine kuna mjadala juu ya WAALIMU ama WALIMU hivi kabla hujatoa mada inabidi utoe tafsiri halisi ya misamiati unayoitumia ili tuelewe jamani jamani

    ReplyDelete
  6. Kwi kwi kwi kwi, nakubaliana na anony wa 11:33:00 AM kuwa hao ni WAPAMBE and not otherwise!

    ReplyDelete
  7. hao ni walinzi sema leo nao wamevaa kijanki kwani zile suti watatia aibu kumlinda celebrity na misuti ile, ukitakaugomvi waambie wachomekee mashati

    ReplyDelete
  8. Sasa Limousine liko wapi au ndo hako ka RVA4?

    ReplyDelete
  9. hata mimi naona hao ni wapambe tu , huwa hawakoseni watu wa kazi hizo.

    ReplyDelete
  10. Baadhi ya wabongo bwana wako materialistic sana. Sasa mwezako atapata zaidi ya dola millioni 7.7 kwa miaka mitatu ijayo. Wewe unakisaga kiLove4. Labda jamaa yeye ataki kujishoo kama baadhi ya watu. Yaani Tz maskinilakini watu wanajishoo sana!!!

    ReplyDelete
  11. msiwe wabishi, kuanzia gari na hata hao jamaa ni wa usalama waangalieni kama kuna siku atakuwa hayuko nao au ukute wamechomekea mashati

    ReplyDelete
  12. From Cute to cuter.....pesa sabuni ya roho jamani ...hapo hata hajaanza ligi....uwiiiiiiiiiiii...sorry you're just too young for me right now and ain't a cougar but mhhhh I love tall tall

    ReplyDelete
  13. Anony 9:45:00 PM....inaonekana wewe ni kicheche sana japo ni mtu mzima..........pole sana komaa na jamaa yako dwarf.By mdau Kafanabo

    ReplyDelete
  14. Non sense watu mnapenda tu kuosha vinywa he has money na keshaenda mbali mwacheni aishi anavyotaka. Wacha pesa imtunze sio yeye aitunze. Binadamu mnapendwa mpendezwe punguzeni maneno

    ReplyDelete
  15. yan ni kweli anym. wa 9.04.
    wabongo majungu 2.
    hashi baba liv yo lyf,

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...