nizar na wenzie wakishsangiliwa baada ya kumtungua mtu
nizar akinyanyasa
akitawala kiuongoni
keshalizwa mtu
lishe

kaka nanihii hebu ikiwezekani zirushe picha hizi za Nizar Khalfan akitutoa kimasomaso huko ughaibuni katika mechi ya Vancouver White Caps na Miami Picasa ambapo timu ya kina Nizar ilishinda na yeye alichangia sana ushindi huo. Naamini kabisa kuna baadhi ya wadau wa hili libeneke wangependa kabisa kuziona ili wapate kufarijika!!
Mdau DM




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. kwakweli picha ya mwisho ukilinganisha hao jamaa wawili ni wazi kuwa nizar lishe ni duni sana tena sana a.k.a msuli,bado kuna vumbi jingi kwenye mapafu

    ReplyDelete
  2. Bravo Mdau! Usichoke kutuletea majamboz kama haya,

    ReplyDelete
  3. kumbe ndo maana whitecaps walifungwa bongo, jamani hawajazoea kuchezea uwanja mkubwa kama wetu,cheki kiuwanja chao utafikiri mashabiki waangalia draft au bao?
    otherwise Nizar na Nadir big up sana jitahidi japo timu zenu za bongo zimeibiwa,mtauzwaje kwa sh usd8,000? hata kama hatuna maproo wengi,hii haimaanishi kuwa sisi mambumbumbu.
    wakatabahu.

    ReplyDelete
  4. bodi fremu ya Nizar Khalfani ni kama ya Peter Crouch wa Portsmouth / Lennon wa Tottenham Hotspurs.

    Kwa vile Khalfani ame-'pass' medical, maana yake yuko fiti bila kujali bodi fremu yake.

    ReplyDelete
  5. Mdau ubarikiwe. Picha nzuri sana umetuletea. Tumefarijika.

    ReplyDelete
  6. anon wa kwanza jaribu kuwa a bit positive man!

    ReplyDelete
  7. Baab kubwa, inaleta raha mno. Kila la kheri, na mfungo mwema.

    Mdau Boston

    ReplyDelete
  8. Wadau...

    Huu ni mwanzo mzuri, Katika ramani ya michezo na sisi tupo... Hashim, NIzar, kuna yule aliyekula scholarship ya tenis,henry joseph, anyway tuongeze juhudi na pia hawa waliotoka watuentice sisi tulioko huku.....

    Ni hayo tu

    ReplyDelete
  9. nyie mliopo huko mnafanya nini? kuosha vyombo kwnye nyumba za wazungu?

    ReplyDelete
  10. kazi ni kazi hata bongo unaweza ukaosha vyombo kwenye nyumba ya mswahili mwenzako na matusi juu acheni kashfa kama ulinyimwa viza kakojoe ulale

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...