Mchezaji wa mpira wa kikapu wa timu ya Memphis Grizzlies ya Marekani, Hasheem Thabeet, akicheza mchezo huo na wanafunzi wa shule ya Uhuru Wasichana, wakati alipofika shuleni hapo akiwa katika ziara yake kwa ajili ya kuhamasisha watoto kupenda michezo.
--------------------------------
Hasheem Thabeet takes time out to spend the afternoon playing with children at the Uhuru Primary School in Dar es salaam to encourage them to play basketball
who needs a ladder?
catch me if you can...



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. kaka tumeona juhudi zako katika kuhamasisha mchezo wa basketi hapo bongo Mungu akubariki sana upate mafanikio zaidi katika nba ila inabidi ukaze msuli mkuu

    ReplyDelete
  2. Ubarikiwe Hasheem. Big up.

    ReplyDelete
  3. MDAU MWENYE DATA PLZZZZZZZZZZZZZ, HUYU HASHEEM SI NI YULE ALIYESOMA O-LEVEL MAKONGO SECONDARY????

    ReplyDelete
  4. I have a lot of respect for Hasheem after seeing this picture. It is imperative to understand that we are talking about a guy, who is young, talented, and VERY soon will become a multi billionaire, in Tanzania's standard, taking time out of his busy schedule to play around with less fortunate kids in the dirt. That action by itself says a lot about the kind of person he is and more importantly the way he was nurtured.

    Hasheem understands the importance of giving back to the community that raises him, and that is the reason he empowered those kids by exercising with them. Surely, Hasheem ought to be commended not only for what he has accomplished so far but also for his deeds to our community. Consequently, many kids in Tanzania today will be saying I want to be like Hasheem.

    Truly, Hasheem embodies what can be achieved through hard work, determination and commitment. My fellow Blog ya jamii’s members, instead of tearing this guy apart; let’s wish him all the best in his future endeavor.

    MDAU WA KITANGALI

    ReplyDelete
  5. natamani kuguona nigupige picha (gududu gwake)teh! teh! teh!

    ReplyDelete
  6. Lete hizo culture diffusion ndani Bongo.

    ReplyDelete
  7. We anon wa sat aug 23, 12;13 am hujatulia hata kidogo! ila nimecheka sana.Well all the best Hasheem.Mwenyezi mungu akulinde na kukuongezea zaidi.

    ReplyDelete
  8. hasheem nakupa big up kwani unatuwakilisha vyema watanzania huku marekanimzungu akikuuliza unatokea nchi gani ukijibu tanzania hawajui ila ukisema nchi ya hasheem wanakupata kwa urahisi zaidi

    ReplyDelete
  9. jamaa(mdau wa kitangali) anasema billionaire jaman mjue huku kuna kitu kinaitwa tax sio kama kwetu bongo ni lazima ulipe hiyo sehemu ya mshahara wako kwa mfano kwa hela kama hiyo unabid ulipe 65% sio kama zote ni za kwake

    ReplyDelete
  10. Safi sana Hasheem.... ila Insurance ya Glizzers ina-cover hapo?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...