GLOBU YA JAMII INAPENDA KUWATAKIA WADAU WOTE MFUNGO MWEMA WA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI. TUFANYE SWALA NA TUENDELEZE MEMA MWEZI HUU NA MINGINEYO...
RAMADHAN KAREEM

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. inshalla mwenyezi mungu atupe nguvu,afya na imani ili tuweze kukamilisha mwezi huu salama na funga zetu ziwe ni zenye kuswihi,nawatakieni waislam wote ulimewenguni swaum njema na mimi pia,RAMADHAN KAREEM

    ReplyDelete
  2. ameen, Allah atakabal swaum zetu na atujaalie tufuzu katika ibada hii.
    Ramadhan Kareem.

    ReplyDelete
  3. Ramadhani ikiwa njema kwa wale waitimizao (sote waIslamu, waKristo, waHindu, waYahudi na wengine) ina maana ULIMWENGU MZIMA UTAKUWA MWEMA. Tukizingatia yafundishwayo katika mwezi huu mtukufu (ambayo hayana mipaka ya kidini) tutatambua kuwa ndivyo tunavyotakiwa kuishi miaka yote na nyakati zote.
    Kama ulimwengu ungeamua kuufanya mwezi huu uanzao sasa kuwa wa mabadiliko, ama kuamua kufanya haya mema yafundishwayo katika miezi mitukufu kama hii kuwa sehemu ya maisha yetu ya kila siku, TUSINGELIA TULIAVYO KWA MATUSI, KEJELI, WIZI, UBAKAJI, UFISADI, MAUAJI, VITA, MATABAKA, MAKABILA, RUSHWA nk.
    RAMADHANI NJEMA KWA ULIMWENGU MZIMA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...