Katika mashindano hayo yanayodhaminiwa na Safari Lager, timu ya mkoa wa Ilala iliibuka mshindi baada ya kuwaadhibu mahasimu wake wakubwa, ambao ni timu ya mkoa wa Kinondoni. Wenyeji timu ya mkoa wa Mbeya ilijinyakulia nafasi ya tatu baada ya kuilaza timu ya mkoa wa Mwanza. Ilala ilijinyakulia kombe, medali na kitita cha shilingi milioni tatu, wakati Kinondoni walipata shilingi milioni mbili na Mbeya shilingi milioni moja na laki mbili
Home
Unlabelled
ilala yanyakua ubingwa wa taifa wa pool
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...