mwanaharakati john mashaka ambaye yuko vekesheni bongo akila pozi na mcheza sinema nyota steve kanumba na anko nanihii kwenye hafla ya kuchangia mfuko wa ujenzi wa nyumba ya watoto yatima katika mradi unaosimamiwa na Tanzania Mitindo House iliyofanyika Hellenic Club jijini dar mchana wa leo. habari kamili na picha zaidi baada ya kufuturu na swala.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 22 mpaka sasa

  1. Is he not getting difficulities on his way through communicating with Tanzanians? because what I know the man is not able to speak swahili.
    Nawakilisha Kaka Michuzi niwekee ubaoni hiyo.

    ReplyDelete
  2. Mashaka, hapo Bongo siku hizi kuna winter? Mbona nguo za baridi hizo?

    Jovinata

    ReplyDelete
  3. kaka mashaka karibu bongo uone mambo yalivyo ukiandika ujuwe unaandika nini pitia wizara zetu na tasisi mbalimbali uone mambo yalivyo kaka. suti nzuri lakini joto vipi bongo

    ReplyDelete
  4. Karibu sana bwana!

    I have got a few points to make: You have written a lot of articles regarding economic development in Tanzania, the crisis, corruption, you name it, and how to tackle the problems we are facing, now the question is: are you going to speak to those in the government who in one way or another will be dancing the same tune as you, this is due to the fact that the majority of people who have been reading these articles are not in a position to make a difference.

    The second point is why do you always write your articles in english, i know it is difficult to write in swahili because some words do not exist or there is no translation in swahili, but so many times people have been crying asking you to write article in swahili? Always, the solution has been for the us blogger to try to interpret on your behalf? At some point due to the quickness of the us blogger to jump for help, it prompted me to think that you and the same person calling himself/herself us blogger!! how come us blogger is not coming out!

    The third point is just to say enjoy your vacation!

    subiria waosha vinywa!

    P.E.D

    ReplyDelete
  5. John mashaka kumber nunda. Ila Dar Joto kali unaweza kosa pumzi. Fulanazz ndani ya Nyumba!!! Duh kweli hiyo fulanazz ya jamii..lol

    ReplyDelete
  6. Sema Michuzi,

    Mi nina ushauri wa kutafuta neno mbadala wa blogging kwa kiswahili unaonaje tukitumia chuzisha yaani kama kuukubali mchango wako kwenye fani hii.

    chuzi=blog
    chuzisha=blogging
    nimechuzisha=blogged
    nitachuzisha=i will blog

    Naomba uiweke hii wadau waichangie hili juu ya kuboreshja lugha yetu


    -al

    ReplyDelete
  7. jamani kumbe john mashaka ni mdogo wake michuzi wa damu kabisa! leo nimeshangaa sana baada ya kupata nyeti hiyo.
    Hongera sana michuzi mdogo wako anajituma kama wewe.

    ReplyDelete
  8. he hivi ni kweli ehe sikujuwa kuwa michuzi ni mtu wa bara nilizani mmatumbi ndiyo maana safari za mwanza hazimuishi

    ReplyDelete
  9. Kanumba kweli ni msukuma halisi.Hiyp dress code yake mie hoi jamani.rangi ngapi??

    ReplyDelete
  10. mwanaharakati? harakati zipi?

    ReplyDelete
  11. Naona hapo Michu unatuchokoza na Fulanaz tena. Naomba uinadi hiyo t-shirt. Naku challenge $ 20 uache kuivaa.

    Is it me or John Ze Mashaka anaanza kuzeeka ?

    ReplyDelete
  12. Mdau Mashaka nae atakaribishwa na JK Nyumba Kuu...au yeye sio mshikaji wake??

    ReplyDelete
  13. hiyo suti ya vipande vitatu jamani!!! ndugu mashaka aliondoka bongo lini? je ni msukuma au mhaya au mjaluo!!!! nawe michuzi huwezi kummegea ushauri kidogo kama anapenda suti akavaa kama ile JK!!!

    ReplyDelete
  14. Hizi fasheni jamani! Kanumba huo mtandio shingoni mhhh! Kwa fashion kama hiyo mie ntabakia mlugha lugha daima.

    ReplyDelete
  15. Kumbe mashaka ni andunje ama kawawa gubika kombe lol !!

    ReplyDelete
  16. Naona mkuu michuzi na wewe umepewa onyo na halmashauri kuu ya ccm nini? Sasa nini kunibania maoni yangu au umehongwa nini?

    ReplyDelete
  17. MICHUZI KIATU CHAKO MBELE SIJUI UMEKISHONA AU VUMBI?

    ReplyDelete
  18. sio chuki lakini naomba mtu amsaidie kaka kanumba jinsi ya kuvaa kwa mwili wake unavoozidi kuwa mkubwa na anavyovaa kama kioo cha jamii haviendani

    ReplyDelete
  19. Hao wanacheza mchezo wa kuigiza jamani,hamuoni mwingine kavaa mtandio(sijui scalf,atajaza mwenyewe) na mwingine ndio hiyo fulanaz ya elfu 1 mia 5.
    Kweli bongo tambarare hadi kumekua na winter msimu huu! Huku majuu saa hizi ni summer,hawavai hizo 3 pieces sababu ya joto.

    ReplyDelete
  20. fasheni nyingine utadhani krisimasi trii kwani lazima kila fasheni uige? hiyo kitambaa kijani kofia utajiju juu hadi chini hakuna usjirikiano ati star! hayo maigizo ndo mnayaita movie basi mnajiona mko holiwudi enhe mnajiona mshakuwa kina samuel l jackson he hee mtaishia kupayuka tuu na sinema zenu zisizokuwa na mvuto! mashaka karibu hh ila suti mh acha tu nakubaliana na mdau sio woote kiinglish kinapanda tunakushihi uandikege na kiswahili pliiz sababu kuna watu wengine wanauwezo wa kujibu hoja kwa makini tatizo ni hapo kwenye ngeli huwa panaboa saaana kama kinyamwezi hakipandi we acha tu enjoy vekesheni

    ReplyDelete
  21. Kama chuzi=blog basi
    michuzi=blogs nayo tuikubali

    ReplyDelete
  22. michuzi asante kwa blog yako nzuri inayotupa habari za kila nyanja hapo home,naona ze fulana imechuja,au umefulia?nikipata mtu anakuja bongo ntakuletea ze fulana kama hizo za kila rangi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...