enzi hizo, kabla pantoni mpya ya MV Magogoni yenye uwezo wa kubeba abiria 2000 na magari 60 kwa mpigo haijaanza kufanya kazi mwanzoni mwa mwaka huu katika kivuko cha feri cha magogoni, dar, ulikuwa unaruhusiwa kushangaa namna hii. Abiria wote hao wanataka kuvuka! siku hizi mambo ni mswano.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Kwa kweli MV Kigamboni imesaidia sana. Nilikuwa napenda kutembelea fukwe za Kigamboni, lakini kila nikiwaza namna ya kuugawa muda wa fukwe na ferry napata kizunguzungu. Niliwahurumia sana wakazi wa Kigamboni.
    Sasa walau ziwepo mbili kwa huduma hiyo wakati tukisubiri DARAJA.
    GJK

    ReplyDelete
  2. kashangae Ferry Shillingi inazama MELI Inaelea.... Pzi.

    ReplyDelete
  3. unanikumbusha mbali saaaaaaannnnnaa....na i kushngaa kwa sababu ya feri kutokuwepo au kuwepo pale, bali pia ni lile liharufu linatokea sehemu sehemu pale. Ukishangaa ya Musa....Michu mdogo wangu naomba kutoa dukuduku. MH

    ReplyDelete
  4. Pantoni jipya linaitwa Mv Magogoni na siyo Mv Kigamboni kama mwandishi alivoandika. Pia lina uwezo wa kubeba abiria 2000 na siyo 1000.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...