Kaka Michuzi pls nipitishie tu haka kaujumbe kwa wale wajasiria mali. Na mwenyezi Mungu akubariki.
NIMEDHAMIRIA KUKUZA MTANDAO HUU WA REAL ESTATE, KWA KUWAALIKA HATA MADALALI WOTE NCHINI KUTUMA NYUMBA ZAO ZA KUPANGA AU KUKODISHA / VIWANJA NA N.K. ZIKIWA NA CONTACT ZAO. BUREEEE. KUFANYA HIVI NI KUSAIDIA WATEJA WANGU KUPATA VIWANJA/ NYUMBA IWE YA KUPANGA AU KUNUNUA BILA USUMBUFU WOWOTE.WOOTE MNAKARIBISHWA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hivi kweli wewe uko serous na biashara au unataka kutupotezea wakati?

    Nyumba zote zinaonyesha ziliwekwa kwenye tangazo zaidi ya mwaka mmoja uliopita. Je bei bado ziko vile vile? Kwanini hazipata wanunuaji, wapangaji?

    Kama kweli uko serious na biashara yako inabidi utolee jasho kazi ututumie vitu abavyo viko up to date.

    Kisha inabidi urahisishe kazi kwa wateja wako kwa kupangilia makundi ya nyumba zinazouzwa, zinazopangishwa na n.k.

    Inawezekana kwamba umeanzisha website yako hivi karibuni na bado uko kwenye harakati za kuipigi soap soap, kama ni hivyo ingebidi uwe na subira uweke kitu ambachi kiko profissional.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...