Mheshimiwa balozi na mkuu wa wilaya ya nanihii,
picha hizo hapo nimeona ingekuwa vizuri nawe ukaziona na kuwarushia wadau hewani. Picha no 1 na 2 ni vijana wa bagamoyo kama nilivyowakuta wakicheza pool ambalo wameamua kulitengeneza wenyewe hii inaonesha vijana hawa wakiwezeshwa wataweza kufanya vitu vya maana.
Mdau Nyalusi



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. HIVI TAKATAKA ZINAZOTUZUNGURUKA NI SEHEMU YA UTAMADUNI WETU WA MAISHA?

    ReplyDelete
  2. wakimaliza kucheza kupata watoto kazi maana viuno vitakua sio vyao tena.

    ReplyDelete
  3. Wanasoma shule kweli?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...