Home
Unlabelled
lori lateketea kwa moto makambaku
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Huo ndo utajili wa afrika,,,hata uwe na mamiliyoni yaweza kupotea kwa saa moja.
ReplyDeletePole sana tajili mwenye hiyo loli nawenye mali.Lakini ushauli wa bure muwe wajanja kwa kufanya biashala zenu,muwe mnatumia kuwekeza benki sana.kama huyu hapa anaumia sana.
Mkuu mwenyekiti wa nanihii... hapo ni makambako na sio makambaku, ni kosa watu wengi sana huwa wanalifanya hasa wakati wa kutamta.
ReplyDeleteHii mara nyingine inaweza ikawa ni hujuma. madereva wanakwa si waaminifu kwani wengine huwa wanasuka deal a watu wanaiba mizigo ya watu na kuchoma gari moto.Nchi yetu kwa kweli sijui tufanye nini tubadilike
ReplyDeleteMkuu Mithupu mbona hii picha imechelewa saaaana.Tuykio hili lilitokea mwezi wa May 2009.
ReplyDeleteUkitaka mimi nita kupost picha mbadala la tukio hili
SINA UHAKIKA SANA LAKINI NADHANI SEHEMU HII ITAKUWA KATI YA MAKAMBAKU NA CHIMALA KWANI SEHEMU HII HUTUMIKA SANA KUCHOMA MALORI. KWA WALE WAPENZI WA VYUMA CHAKAVU BASI WAENDE ENEO HILO.
ReplyDeleteDili la Ishuarensi hili
ReplyDelete