Bro Michu,
Juzi siku ya nane nane jijini Mbeya katika viwanja vya Marehemu JohnMwakangale nilifanikiwa kumnasa mdau akitafuta taswira viwanjani hapo. kwa bahati na yeye akawa sehemu ya taswira!

Pole kwa kazi!
Mdau wa Mbeya

Baba Alpha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...