JK akihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa jijini New York

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. Michu tuwekee hotuba ya Ghadafi kama unayo kwani mzee huyu badala ya kuhutubia dk 15 zilizopangwa yeye alihutubia zaidi ya muda uliopangwa na kuwapa wakubwa wa Dunia hii vipande vyao!

    ReplyDelete
  2. ingenoga saana jk akawa na mabodigadi mademu we acha tu

    ReplyDelete
  3. At least Ghadafi walimsikiliza Ahmednajad aliwasambaratisha wote, sijui Hugo Chavez na Mugabe watakuja na zipi kwenye kikao hiki.

    ReplyDelete
  4. JK wakati anahutubia kulikuwa na watu wangapi humo ndani?

    ReplyDelete
  5. nafikiri waliokuwa ndani wanamsikiliza walikuwa wale waliofuatana nao toka Bongo na mpiga picha wake mkuu wa wilayaa ya nani hii ambaye kwa ukanumba wake hakuelewa..michuzi usibanie hii!

    ReplyDelete
  6. Wakati Jk anautubia walio kuwa njea walikuwa hawana habari , wengine tulikuwa tunapata chai hapo kwenye UNO cafe, walikuwaepo kama watu 45 hivi, bila shaka ni wafanyakazi!

    ReplyDelete
  7. kwanza alichelewa, pili kaongea pumba tu, alishindwa kusoma sehemu zingine...shida tupu

    ReplyDelete
  8. rudi mkuu utusaidie Mbagala.... kabla hujapata safari nyingine

    mhh Tanzania zaidi.....

    ReplyDelete
  9. Hutuba ya JK imetawaliwa na kuombaomba Tunaomba vyandarua,tunayo ardhi nzuri tunaomba mje kutulimia,tunaomba mtujengee barabara,Wakaguzi wa mahesabu ya Bank tunaowa kutosha Aksanteni.

    ReplyDelete
  10. kwanini anavaa tie nyekundu na atleast sio kijani au some rangi zinazofanania na bendera yetu kwani hapo anaonekana kama democrat vile

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...