

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
taratibu chaneta, pesa si msingi wa maendeleo ... bado mnahitaji busara na kujitolea kwa maveterani kama anna kibira.
ReplyDeleteHili ni pigo kubwa sana katika maendeleo ya netiboli Tanzania. Itakuwa ni busara kwa Mama Bayi pia kuachia ngazi ili kutoa nafasi kwa mabadiliko ya msingi ndani ya Chaneta kuchukuwa mkondo wake.
ReplyDeletemimi si mpenzi wa netball lakini tangu niko mtoto namsikia anna kibira kwenye netball hadi nikawa nadhani ndie rais wa TFF yao muhimu kuwaenzi waasisi wanapokosea waonywe maana ni hazina
ReplyDeletenadhani ni wakati sasa BMT wakawa na meno ya kutosha kukabiliana na matukio kama haya ya kufukuzana ovyo...tunajua chanzo nini sisi tulio katika sports admin ila wananchi wengi hawajui...lasivyo ndoto za Tanzania kuwa nchi ya michezo haitakuwepo...mama kibira si ulipue tu jamii ikusafishe maana naona kama wewe ndio unaonekana mbaya vile!!
ReplyDeleteNaona kama ufisadi unanyemelea hata netiboli, mama Kibira yupo ktk netiboli siku nyingi toka wakati ule hakuna hata senti yeye amehangaika nayo, sasa neema inakaribia naona mafisadi udenda unawatoka wanaamua kumwondoa. Nadhani hawakumtendea haki. Hata BMT tayari wamewashangaa akina Mama Bayi!!!!
ReplyDelete