Home
Unlabelled
kundi la kidede la muchacho orijino
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Namkumbuka jamaa wa tatu kutoka mwisho waliokaa akiitwa Ramadhan(Ustaadh) akiwa anakaa mitaa ya Gerezani, kwa mbaali utafikiri chapa ya Michuzi family hebu ideki hiyo snepu halafu uniambie mwanangu!!Kama yupo tunaomba contact zake
ReplyDeleteSimba hapo waliwachapa Mufulira Wanderers kwa mabao 5 kwa sifuri mbele ya mzee Kenneth Kaunda...Thuwein Ali alipachika 'hat triki'...wadau mnakumbuka....simba oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
ReplyDeletewa pili toka kulia ndio kijana Muhidini Issa Michuzi!!!duh ndio enzi hizo!!!!
ReplyDelete