Heshima yako michuzi...
pamoja na uhongozi wako wote..!!anyway tunaomba umtoe kijana huyu kwenye web yako kwani Mtanzania ambaye anaonyesha kipaji chake kama kazi kwa mafanikio makubwa nchi za europe na hivi sasa hakiwa tour spain,kwa jina la kazi yake deejay g-town kama unavyomuona hapo watu wakimsapoti kwa kazi yake,anasifika kwa spin party ya aina yeyote ile,hiphop&rnb,house music,bongoflava na kila kitu na producer wa beats vile vile na anakuwa live kwenye radio funx(lijn5) sometimes, anategemea kuja bongo soon....
ukitaka kumpata checkout myspace.com/deejaygtown1,digtown1@yahoo.com,facebook/djgtown.
thanks


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Mbona sisi tupo Europe wala hatujamsikia/ hatumjui?

    Please tupatie wapi 'base' (kiota cha burudani) yake ili tukaburudike na kazi yake.

    Mdau
    Europe.

    ReplyDelete
  2. This is JACKASS,Picha ya kwanza kapiga na vyombo,ya pili ni vyombo na wazungu wanacheza!!!!!Whats this.Anybody anaweza kupiga na vyombo and then akajitangaza....Hebu kueni bana, na broda Michuzi vitu visivyotosheleza kama hivi hutakiwi kuviweka.Tupe news za moto na za leo leo sio hizi picha za WABEBA MABOX..eboooh kueni bana.

    ReplyDelete
  3. unajua watanzania bado tuna vichuki chuki binafsi,mfano maoni yanayo tolewa na baadhi ya wadau!yanaonyesha kwa kiasi kikubwa tusivyo watakia heri wasanii wetu!
    Tujaribu kuwa na mtazamo safi....hili tusonge mbele,
    DJ G-town kamatia hapo hapo dogo.
    achana na waosha vinywa

    ReplyDelete
  4. Watanzania kwa chuki! yaani mtu akiwa anafanya mambo fulani ya maana lazima muhate ingekua habari za negative hapo makomenti kibao yaani mitanzania tunapenda negativiti sana du!! i dislike tanzanian behaviour!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...