FUNDIWAKOMBO YATIMIZA
“MWAKA MMOJA”
NAPENDA KUTOA SHUKURANI ZANGU ZA DHATI KUPITIA GLOBU HII YA JAMII KWA WADAU WOTE POPOTE MLIPO KWA KUWA PAMOJA BEGA KWA BEGA KATIKA KUENDELEZA LIBENEKE. TUZIDI KUWA PAMOJA.
“MWAKA MMOJA”
NAPENDA KUTOA SHUKURANI ZANGU ZA DHATI KUPITIA GLOBU HII YA JAMII KWA WADAU WOTE POPOTE MLIPO KWA KUWA PAMOJA BEGA KWA BEGA KATIKA KUENDELEZA LIBENEKE. TUZIDI KUWA PAMOJA.
Unajua picha kama hizi za PP mara nyingi huwa ni obituary, yaani nimeshituka sana nikaanza kusema nani tena huyu katutoka?. Aaa mungu apishie mbali ila next time weka picha nzima au usiweke kabisa weka link tu maana watu tuliisha anza kukufiria ndivyo sivyo
ReplyDeletekeep it up mr kombo
ReplyDeleteyanI mdau wa kwanza hapo juu uko sahihi na mie pia nilikuwa mh nani tena huyu ??? huh!
ReplyDeletebrother fundi hii umenisitua sana nilijua umetutoka kaka tafadhari sana badilisha huu ujumbe. noma kaka
ReplyDelete