Home
Unlabelled
pinda na waziri mkuu wa korea kusini
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hapo wanaongea lugha moja,ukomonisti mtupu!naamini baada ya hapo misaada kibao tutapata wabongo.Hawa jamaa sio wachoyo kwa wakomonisti wenzao
ReplyDeleteNakufagilia MH Pinda mtoto wa mkulima halisi wa Tanzania kula maisha mkubwa
ReplyDeletemdau Kilimo kwanza Mpanda
Seoul ipo South Korea nenda shule wewe.
ReplyDeleteKumbe Pinda anajua kutabasamu, safi sana!
ReplyDeleteanony wa tatu usipate tabu na anony wa kwanza.
ReplyDeleteni matokeo ya kukurupuka,elimu ya kukariri na ufinyu wa general knowledge.
HAWA JAMAA WAKO FITI SANA KWA MAMBO YA KIUFUNDI WANGETUPATIA HATA KAKIWANDA CHA KUTENGEZA SAA ZA DISCO TUTOKE KIDOGO.
ReplyDeleteMhe. waziri mkuu hana mpango wa kuongea na watanzania waishio hapa korea?? Naona viongozi wa TALIKO (Chama cha watz waishio korea) wamefanya kila njia lakini......au huenda hawajui kuwa kuna watz wanaoishi hapa..!!
ReplyDeleteMdau South Korea