DJ Yusuf & Routes in Rhythm Soundsystem

JOIN US THE LAST FRIDAY OF EVERY MONTH

AS ZANZIBAR’S HOTTEST DJ SPINS THE DECKS WITH RARE GROOVES...


Chilled and dance music from around the world...

FUSION OF GLOBAL SOUL TO AFRO POP

STARTING

THIS FRIDAY 25th from 8 pm till late


LIVE LOCALLY – GROOVE GLOBALLY

ADMISSION FREE !!!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. wapi-Mji gani? Muwe mnaleta vitu vilivyokamilika sio wote tunajua hii club ipo dunia ipi.Damn

    ReplyDelete
  2. Hii iko zanzibar,ofcoz kuna ka sehem kidogo wamesema abt the Dj...zanzibar's hotest Dj inaweza ikakufanya uhisi kwamba ipo zenji ingawa nayo pia haitoshi kuonyesha shughuli ilipo coz unaweza kuwa Zanzibar's hotest Dj lakin siku iyo ukawa unapiga disco Kibena Club Njombe..Next tym muwe makini bana...

    ReplyDelete
  3. I love Dj yussuf he surely knows how to spin the wheel, BUt Not too sure about the place mercury............Service is CRAP...wanapenda sana wadhungu.....i think wanaambiwa 'mkiona wamatumbi, jua ni soda tu'. I was there on the night of the first Eid....yaani hata hujamaliza kutoa order haooooo wameshaondoka..wakileta vitu havikamiliki, wanarembea rembea tu....LOH!hamna hata tabasamu....chakula chenyewe kibovuuuuuuuu.........i just dint have any option cause it was the only place they had a live band anyways sielewi kwa nini inakua hivi.........pia kuna siku moja nilikua naelekea Uroa, zanzibar kusimamai ujenzi...camera yangu iliisha battery basi nikasema nitanunua huko mahotelini kwenye maduka. basi tukapita hoteli moja inaitwa ' Ora marumbo reef (yaani hata kwenywe google hamna) iko huko uroa...nika paki gari yangu ile nikanunue humo ndani. Jamaa kufika mlangoni kulikua na maasai…kuingia tu nikasimamishwa…nikaulizwa nataka nini????Jamani jamani nilishangaaaaaa…..kuingia hotelini imekua DILI??nikamwambia…kwanini kaniuliza hivyo??akasema watu hawaruhusiwi kuingia???nikamuuliza wanaogingia huku wote wanyama???akasema kuwa yeye anafuata ambri…..nikamwambia nataka kumuona mkuu wake…akaenda ndani…baada ya dakika chache akarudi anasema kuwa anakuja. Nikakaa hapo nje 15 minutes hajaja mtu.masai anasema wewe subiri tu atakuja!!!!! Nikavuta subira another 10 inutes sijamuona mtu…….yaani nilitamani kulia KUDHALILISHWA kwenywe nchi yangu.Inakuaje kuwaje wageni wanafikia hivi????????in simple words…..ile hoteli hairuhusu watu weusi na si hiyo peke yake zanzibar zimejaa nyingi, kwa nini tunawacha hivi, tunakubali ukoloni????????

    Naomba jawabu, ndugu zangu!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...