

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hiyo ni habari njema. Tulikuwa tunawasubiri kwa hamu Twangapepeta maeneo tulivu yenye mandhari kama hayo ya Bils, manake sisi wengine sehemu kama za Mango Gardens na makumbusho zimekaa kulia kidogo japokuwa bendi tumekuwa tukiitamani
ReplyDeleteda' Asha hongera kwa kukuza mziki wa kibongo, pili tuletee watoto huku Manchester tunatafuta wake wengi tumefuria tuna kazi zuri sana lakini atuna wake tusaidie kwa hilo, Manchester (UK)
ReplyDeletemdau unajua maana ya kufulia kweli?. Kama una kazi nzuri huko Manchester si ndiyo umeukata tena. Au umefulia kwa uhanga wa
ReplyDeletemademu?
Mango yetu huwa tunalipa elfu tano kiingilio. Huko Bilicana ndiyo itakuwa maelfu mangapi sasa ili tujiandae, tusije rudishiwa mlangoni
ReplyDeleteDuuh Mjomba Michu umechapia Mimi naona ni Super Nyamwela sio Super Zembwela.
ReplyDeleteMdau
Kisiju Pwani
Hivi Aisha Madinda amerudia kuwa fit tena kumbe na shape ya kuvutia naona.Lazima nikamdeku kimwana huyu
ReplyDeletejamaa ndugu zangu mie nimeishi huko Man kwa miaka mitatu nilikiuwa nasoma Manchester kwa sasa nimerudi Bongo ni kweri watu wa huko wanawake waho ni wazee ndio wanaowa na wengine wanasimama babarani dada zetu, mdau kufuria ni kuaribu si lazima umeishiwa pesa, wenu Gitu Mbenzi juu.
ReplyDeleteUnataka Waluketee stage player kama mke, and you are telling it to those who operate the band or group. Isnt that as much as sexual slavery??? are you that desperate to find a pussy, that you are requesting people to find one for you??? Leave the ladies alone they are just trying to make a living and not being exposed as sex objects or to those horny who are not men enough to find their own lady love.
ReplyDeleteWaheshimuni wa dada wa watu, wapo kazini hao. The last time I checked, atakayekuletea mwanamke on the terms I undestand you just said, kwa sheria za TZ ni kosa na unweza kwenda jela. Kama untaka rudi bongo, nenda kamtafute mwenyewe.
Kwanza huyo mke jiulize atakuwa amefuata nini. Halafu wakiwakimbia, mnaanza kuwaponda.