Meneja Mtafiti wa Masoko wa Tigo Issack Nchunda akimkabidhi zawadi Faldhin Muhammad mshindi wa kitita cha milioni moja wa promosheni kabambe ya Tigo Kila Mmoja Anashinda wakati wa hafla fupi ya makabidhianao iliyofanmyika makao makuu ya Tigo jana. Kushoto anaeshuhudia ni Afisa Uhusiano wa Tigo Jackson Mmbando.
Wadau Faldin Mahammad, Asha Ramadhan na Meenal Shah washindi wa kitita cha milioni moja kila mmoja katika promosheni kabambe ya Tigo Kila Mmoja Anashinda wakionyesha pesa zao mara baada ya kukabidhiwa wakati wa hafla fupi ya makabidhianao iliyofanyika makao makuu ya Tigo leo.
Wadau Faldin Mahammad, Asha Ramadhan na Meenal Shah washindi wa kitita cha milioni moja kila mmoja katika promosheni kabambe ya Tigo Kila Mmoja Anashinda wakionyesha pesa zao mara baada ya kukabidhiwa wakati wa hafla fupi ya makabidhianao iliyofanyika makao makuu ya Tigo leo.
kwa wale wanaopenda 'ubosi', ukiingia kampuni ya simu una 'guarantee' ya kutengenezewa cheo chako!
ReplyDelete