.jpg)
.jpg)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
nami naongezea Adolph Rishard wanne kutoka kushoto
ReplyDeleteDuuh sio mchezo watoto walikuwa wanakipiga hawa. mimi niliowatambua ni adolf rishad wanne toka shoto waliokaa. mohamedi mkweche wa tatu toka shoto waliosimama na wakwanza toka kulia ni juma pondamali mensha
ReplyDeletemdau
kisiju pwani
Duh kweli tumetoka mbali . Michuzi kwa kusaidia tu mimi nimekuona wewe hapo wa kwanza waliochuchumaa kutoka kulia hahahahahaha.
ReplyDeletemkweche wa tatu ,kassim manara wa tano waliosimama, wa kwanza kulia juma pondamali. waliokaa wapili kulia ni marehemu mwarami mohamed shemeji wa jumanne hassan masumenti. nawakilisha mdau wa dom
ReplyDeleteJamaa Ana Convers ya nguvu. Vijana wa Sunderland wapo wapi?
ReplyDeletewa tatu chini toka kulia ni, Jafari Abdulahamani
ReplyDeletekweli Tanzania kichwa cha mwendawazimu hii program ilifanikiwa ile mbaya hawa jamaa walikuwa tishio africa namaanisha waliweza kupambana na timu yoyote ile katika africa ilikuwa tunakwenda kuangalia mpira kifua mbele na matumaini makubwa ya ushindi lakini kilichotukuta mpaka leo tumekuwa nyuma kimpira mungu anajua watu wanakwenda mbele sisi tunarudi nyuma hata mtu akitaka kubisha mfano hai huo hapo juu nakumbuka tulikuwa tunamzomea juma pondamali akipita kuelekea jangwani saa saba mchana wewe jua kali saa hizi mpira utakuua akaja kuwa mmoja kati ya makipa mashuhuri nchini haihitaji mambo ya ajabu vile vile alivyofanya coach victor mtu mwingine afanye miaka mitano au kumi na sisi tutaonekana kwenye world cup
ReplyDeleteEh bwana eh! Huyu Wa pili (Walio simama kutoka kushoto)anafanana na Mohamed Saidi Sululu (ARUSHA), Mapango, Jaffari Abdurahman,Mkweche, na Pondamali.
ReplyDeleteDah kweli nimewakubali wa enzi hizo,mimi hapo hata sina dalili ya kuzaliwa.ila nimefurahi nimemuona kocha wangu wa timu yangu ya mtaani care boyz pale kinondoni DSM Gordian Mapango.Yanga endelezni huo mpango wa yosso!!!!!!!!!mdau Uk
ReplyDelete