Vodacom Tanzania leo imezindua promosheni mpya kwa wateja wake waliopo Zanzibar. Sasa wateja wa Vodacom waliopo Zanzibar (yaani Unguja & Pemba) wanaweza kupiga simu zote za Vodacom kwenda Vodacom na kuongea kwa kiwanga kidogo kabisa cha NUSU SHILINGI tu kwa sekunde (Bila Kodi – VAT & Excise) saa 24 kila siku!!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Does it have anything to do with strengthening muungano?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...