Kwa mara nyingine Hasheem Thabeet azidi kugonga vyombo vya kimataifa safari hii ungana na Terry Badoo wa CNN Sports akichambua maisha ya Mwanakikapu huyu kama ilivyoletwa na CNN Inside Africa. Pamoja na mambo mengine Hasheem amezungumzia maisha yake ya kikapu kabla na baada ya kuwa super star pia mama yake mzazi ameongea kidogo.
Bofya hapa
kufahamu zaidi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Kamua kaka H. T.
    Nakutakia mafanikio

    ReplyDelete
  2. at least bongo sasa tunaludi kwenye ramani ya dunia,mara ya mwisho ilikuwa ile milipuko ya kigaidi,kiasi fulani ilisaidia kututangaza,maana mzee tunapata shida kuelekeza wazungu bongo iko wapi mpaka tuulize u know kenya.dogo tuludishe tena kwenye ramani tutasubili milipuko mpaka lini

    ReplyDelete
  3. ni kweli kabisa maneno yako anon ulietangulia na atakaeleta ubishi kwa hilo basi amezoea kubishana na anaweza hata kubishana na radio

    bongo kujulikana ni shida sana sisi tunaoishi ughaibuni tunapata shida sana kumfahamisha mtu nchi yetu

    sana inakuwa rahisi ikiwa utaitaja kenya alafu ndio utasema sisi tupo jirani na kenya hapo mtu atakuelewa kirahisi

    na hiyo ni baada ya kuwa cnn wananyimwa nafasi kurusha taarifa za bongo

    wanakuja watu wengi maarufu duniani lakini cnn haitoi habari lakini watu haohao wakivuka na kuingia kenya utaona habari inatoka kwenye cnn

    tunaomba wana habari wa vyombo vya kimataifa wapewe nafasi bongo ya kurusha habari zetu.

    ReplyDelete
  4. Mdau wa 01:52 kenya lazima wapewe nafas umesahau uhusiano wa Obama na kenya?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...