KARIBU –WELCOME - KARIBU - WELCOME
IMANI MISSION CONGREGATION (LUTHERAN)

MCHUNGAJI TUMAINI KALLAGHE

VIONGOZI NA WAUMINI WA IBADA YA KISWAHILI READING WANACHUKUA NAFASI HII KUWAKARIBISHA KWENYE UFUNGUZI RASMI PAMOJA NA KUSHEREKEA KUTIMIZA MWAKA MMOJA WA IBADA HII TAREHE 25/10/09 UTAKAOFANYWA NA ASKOFU JANA JERUMA GRINBERGA WA KANISA LA KILUTHERI UINGEREZA

IBADA ITAFANYIKA
ODD FELLOWS HALL
118b OXFORD ROAD
READING
RG1 7NQ

KUANZIA SAA 8.30 MCHANA (14.30PM)

“Kwa sababu ndivyo tulivyoamriwa na Bwana, ……
Neno la Bwana likaenea katika nchi ile yote”
Matendo:13:47 - 49

Ukishuka stesheni chukua basi nos: 16 or 15
kisha ushuke Waylene bus stop Oxford Road

For information:
mchungaji@stanneslutheranchurch.org
Mchungaji: Tel.07983087998/
Aljanes Rwiza (Baba Ian)
07900008211

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...