Mkurugenzi Mtendaji wa Clouds Media Group Joseph Kusaga (kulia) akipeana mkono na mgeni rasmi,Katibu tawala wa Mkoa wa Shinyanga Mh. William Nsanzugwanko mara baada ya uzinduzi wa masafa mapya ya Clouds 92.3 FM Shinyanga,uzinduzi huo umefanyika wikiendi hii wakati wa tamasha la fiesta one love 2009 likifanyika katika uwanja wa Kambarage .
Home
Unlabelled
clouds fm yazindua masafa maya shinyanga
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MiNOR CORRECTION: Masafa MAPYA and not Masafa MAYA!! sorry for any inconvenience that might have been caused by this. Thanks
ReplyDeleteMichuzi blog volunteer editor!
UK