Home
Unlabelled
khadija omar kopa alivyotesa jijini wichita
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
naona b mkubwa kala za uso
ReplyDeletemasikini imekula kwake
ReplyDeleteDu...naona ilikuwa kichekesho kwenye mahojiano,hapa Kanumba Prof.
ReplyDeletemanake jamaa anaongea kimarekani,mara ya kwanza namsikiliza,nikasema,du jamaa anatema,manake nilikuwa sielewi...
du kumbe alikuwa anaongea kimatumbi.
Kwa nini wazungu wanatutesa na lugha zao????
nasi tuwe tunazungumza kiswahili hata kwenye majukwaa makubwa.
i hayo tu kwa leo.
Wichita ni Jiji au Kamji? Wabongo wa eneo hilo naomba mtembe kidogo halafu ndio mtofautishe. Nilipofika huko mwaka jana nilikuwa najiuliza niko Marekani au Tabora?
ReplyDeletenaona hayo manywele anafanana na yule irst lady wa cameroon...langu jicho tu.
ReplyDeletemwe mwe mwe imekula kwake hiyo, sasa ndio mjue moja na moja ni tano!
ReplyDeleteKaribu Newyork tunakusubiri uturushe roho.
ReplyDeleteWewe unaponda Wichita kwani upo wapi sasa kama ulirudi au ulirudishwa ni juu yako. Hamna aneyejali hapa hayo ni maisha yako na wengine huku nao wanaishi misha yao.
ReplyDeleteVijiji vya huku ni miji mikubwa sana ya nyumbani
ReplyDelete