JK akipokea hati za utambulisho kutoka kwa mabalozi wawili wanaoziwakilisha nchi zao hapa Tanzania. Pichani akipokea hati toka kwa Mhe. Darius Steinbeck Bubala wa Zambia.
JK akipokea hati za utambulisho kutoka kwa Mh. Kim young-Hoon ambaye ni Balozi wa Korea ya kusini na Mhe.Darius Steinbeck Bubala wa Zambia. Mkuu wa itifaki Balozi Itatiro anashuhudia katikati


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...