
Elizabeth
Mambo yaonekana kuendelea kunoga siku hadi siku na safari hii mwakilishi wa Tanzania Elizaberth Gupta amewekwa kikaangoni..yaani anapigiwa kura ya kutoka..
shime watanzania tumuokoe mwakilishi wetu asitolewe kwa kumpigia kura kwa kutuma sms kwa wingi.
kwa kuandika neno VOTE ELIZA
kisha tuma kwenda namba 15726
au unaweza mpigia kura kupitia mtandao huu
This is Mwanza again! Anajitahidi sana dada yetu. Nakuunga mkono kura zetu watanzania zinahitajika sana kumuokoa.
ReplyDeletewadau sijaelewa jinsi ya kumpigia kura dada yetu,maana nimebofya hapo mlipoelekeza sijaona sehemu ya kuvote,na je namba hiyo ya kutuma sms bila kuweka kitangulizi cha namba yoyote?,namaana kwamba huku niliko nikitaka kupiga simu bongo naanza na 00255 je huko naanza na namba ipi?,nadhani nimeeleweka vizuri naomba msaada,tumuokoe dada yetu
ReplyDeletejamani ni rahisi nimeingia kwenye hiyo website na kupata udername na password nimevote jamani we can all do it
ReplyDeleteHivi unaposema anajitahidi unaangalia nini hapo. Na asiyejitahidi anafanya nini humo kwenye jumba.
ReplyDeletekweli tumpigie kura huyu dada anatuwakilisha vizuei hajakuwa na tabia ya kutoa penzi ovo kama yule aliye pita mwaka uliopita ndo kujitahidi kwake niliona
ReplyDeleteKwa walioko nje ya Tanzania, andika msg VOTE Elizabeth kwenda number +2783142100414
ReplyDeleteMdau wa kwanza,huo ndio ukabila alioupinga Baba wa Taifa mwalim nyerere.watanzania hatujitambulishi kwa makabila au maeneo tunayotoka,ni watanzania tu.Mie ndo leo najua anatoka mwanza sababu sikua na sababu hiyo au matanzania yeyote hahitaji hilo kulijua,kwa hiyo mwakani na wahaya wapiganie aende mtu wao?au wamakonde wasipopeleka mwakilishi nao wasipige kura.i hope this will change ur mind and support all Tanzania in the race against UKABILA,Yasije yakatukuta ya jirani zetu
ReplyDeletemambo gani big brotha ya mwaka huu hata shower time hamna.wizi mtupu hata kama akitoka atoke tu!!
ReplyDeleteShime wabongo, tupeane support popote ili tung'ae zaidi na kuitangaza nchi yetu.
ReplyDeleteTumpigie kura ndugu yetu Eliza
Amen
We anony wa kwanza,what do you mean by...this is Mwanza again..eeh,peleka your tribalistic mind sehemu nyingine.hapa Bongo hakuna cha huyu Mmwanza au Mmdodoma au Mmwewe,sijui umekulia wapi wewe?didn't your parents teach you not to label people...ushaniudhi sasa ndio siVote kabisaa...avotiwe na Sangara wa Lake Victoria.
ReplyDeleteAnony wa kwanza mkabila sana. Eliza beth ameishi tu Mwanza lakini baba yake Ni mchanganyiko wa muhindi na mnyakyusa. Mama yake ni Mnyisanzu wa Singida.
ReplyDeleteWanyakyusa na Wanyisanzu ndio wajivune sio wewe Msukuma.
dada analipa kishenziii uyu mtz
ReplyDeleteMICHUZI NAOMBA UTOE KIKOMENTI CHA KWANZA KINANISABABISHIA CHUKI DHIDI YA HII BLOG MAANA IMEACHIA SANA MASENENE.
ReplyDelete