Vodacom Tanzania leo imezindua promosheni mpya ijulikanayo kama ‘ONGEZA SALIO KUPITIA M-PESA NA UJISHINDIE SIMU YA BURE’ kwa wateja wake wote wa Malipo ya Kabla na VodaJaza.
Sasa wateja waliojisajili na M-PESA wanaweza kuongeza muda wa maongezi kwenye simu zao au za marafiki zao kwa M-PESA na wabahatike kujishindia simu aina ya Motorola W230.
Droo zitachezeshwa kila Jumatatu kuwapata washindi 10 watakaojinyakulia simu ya Motorola W230 KILA MMOJA.
Vilevile, wateja watapata nyongeza ya asilimia 5 BURE kila waongezapo salio kwa M-PESA.
Mfano: Ukiongeza Tsh 2,000 kwa
M-PESA utapata Tsh 100 ZAIDI BURE!
*Vigezo na Masharti kuzingatiwa.
Pamoja daima.
Vodacom Tanzania
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...