wadau wa iliyokuwa jobless maarufu ya salamanda makutano ya mita ya samora avenue na mkwepu street mambo ndio hivyo tena, kitu kishapigwa nyundo zamani tunangoja kingine kiibuke nyuma ya bati hizo...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Angalia Manguzo ya Stima yalivyosimama lakin hayana umeme.
    Mimi wanasiasa waniuzi sana has pale ambapo hawasikilizi ushauri wa wataalaam..Hivi huyu mbunge wa Mbeya ambaye amekataa tusinunue dowans yuko wapi??..Atupe umeme sasa ....Wananiuzi sana hawa viongozi wetu hewa...Kuongea tuuu na kung'ania mambo hayana mpango..

    ReplyDelete
  2. Wanataka kujenga nini sasa? they better come up with something worthwhile kwa sababu hapo no sehemu very crucial,mmmmh,how about a 20 storey Parking garage...i smell cheese either for the Investor or the City....think about it guys.

    ReplyDelete
  3. Kwenda zako we anony wa 02:37 PM:
    Wewe utakuwa ushashikishwa usiuzwe kirahisi namna hiyo hata hizo generator zingenunuliwa still matatizo yangeendelea kuwepo maana capacity yake haifikii kiwango kinachoitajika sasa! na kwa taarifa yako hili limepangwa maana hizo generators hazichukui hata wiki mbili kama TANESCO na MAFISADI wako serious na kutatua swala la umeme hapa nchini!

    Tujiulize tu Millenium Account imeenda wapi? swala hapa si kukosekana kwa hela swala ni kwamba serikali inataka kununua vitu vilivyotumika ambapo hamna guarantee kama vitakuwa bora! Enough is enough huu ujinga wa kuwatajirisha watu huku nci ikiumia ukome sasa! Sheria zifuate mkondo wake! Wacha tubaki na giza labda wananchi wataamka kusema enough is enough na serikali hii isiyojali ustawi wa maendeleo ya nchi hii bali matumbo yao!

    ReplyDelete
  4. Wewe anony wa 08:50 una mawazo ya kimasikini sana na ndio maana afrika itabaki kuwa masiki kwa watu wenye mawazo kama yako, nafikiri swala la umeme halikuathiri sana sababu huna uzalishaji wowote unaotegemea umeme.Unajua ni kiasi gani kwa nchi na mzalishaji mmoja mmoja anachopoteza sasa kwa kukosekana kwa umeme?
    Ni nchi gani itaisaidia Tanzania kupata mitambo mipya wakati enterim solution inayotayari. Sheria imewekwa ili ifae katika mazingira muafakwa na inabadilishwa ikiwa haitufai katika mazingira yale yale..unajua watanzania tujifunze kuona mambo kwa upana wake na umbali..usifikiri leo tu kwamba nikiweza kumzui Tanesco asinunue Dowans umeshindwa...hilo ni kushindwa kukubwa kwenye ubinafsi..

    ReplyDelete
  5. nilikuwa nimekuja vekesheni hapa L.A ya mwezi mmoja sasa sirudi tena sirudi nyuma mambo gani haya jamani?? yooote hii imesababishwa na ufisadi yani viongozi wa bongo ni waroho sana ebu oneni sasa nimesema sirudiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...