Kaka Issa wa Michuzi, kwanza pole kwa libeneke la kutuletea news wabongo wote popote pale tulipo duniani, napenda kuwajulisha watanzania kuwa umoja mpya umeanzishwa ujilikanao kwa jina la TAFA - Tanzania Algeria Friendship Association. uzinduzi huu uliofanyika Msasani jijini Dar mwishoni mwa wiki na ulihudhuriwa na wazee mbalimbali kama Balozi Sykes, Dr Mshokolwa, Balozi Liundi, Balozi wa Algeria na wawakilishi wa mabalozi mbalimbali. bila kuwasahau wanafunzi waliopo likizo na walewaliohitimu masomo nchini Algeria. na Mdau Jumbe Chachu!
Balozi Sykes (Kulia) akiwa na mmoja wa waanzilishi wa chama hicho
Balozi Sykes (Kulia) akiwa na mmoja wa waanzilishi wa chama hicho
ebana aminia mzee mbeju,kwa info na pic pamoja sana..
ReplyDelete1,2,3, viva ATSA