Home
Unlabelled
bagamoyo ya tukuyu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hahahahaaaaaaa duh,Uumenifurahisha sana Mr. Michuzi kwa kutuwekea picha ya nyumbani TUKUYU,Uumenikumbusha mbali sana, wanyakyusa tunasema Ndaga fijo Michuzi,Ngamanya
ReplyDeletemichuzi jamaa bado hajaipatia ile bagamoyo ya Tukuyu haswa maana bila kuiona ile barabara ya kwenda Kyela ,Bagamoyo hujaiona bado.
ReplyDeleteNashukuru umesema katika taswira ni SEHEMU TU ya Mlima Rungwe, Mlima mrefu zaidi kuliko yote mkoani Mbeya.Kwa kulia mwinuko huo mdo unaelekea kilele chenyewe cha mlima Rungwe
I am proud to see my motherland....mweee.
ReplyDeleteMdau ANDENDEKISYE BROWN MBIJE(Gwakukajha)
kukaja kununu bagwitu, mwe! une ngufyuka apo patukuju, ngusululuka ngukonga ulwisi ulwa kibhira (kiwira)mpaka ku mpunga nnyafu ni mbasa KWAKYELA.
ReplyDeletekwa wengine hili ni jambo la kifamilia zaidi.
Ebwana ulipiga photo ukiwa mtaa gani hapo? pale msikitini nini? kwa taarifa tu...mji mzima wa rungwe una msikiti mmoja ambao upo bagamoyo tu....hakuna msikiti mwingineo katika wilaya hiyo.
ReplyDeleteGhweee mwaipopo kukajha kanghi kununu bho bhulebhule?
ReplyDeleteHi imenikumbusha sana mbali, nice one, nilisoma Bagamoyo Primary school miaka ya 80s enzi za mwalimu Kipalule, kuna anayekumbuka?. Mdau kama unapicha zingine za Tukuyu please tuwekee, thanks
ReplyDeleteMwee mweee mweee... jo jwani mwana ununu uju atutwalile aka picha kanunu ka kukajha?, tujobhege utwanaloli kukajha kununu bhagwitu bhule?.
ReplyDeleteNgetie akapicha aka ilyojo li kolie.
Jone ne mwaninu
Japhet ankamwana gwa Japhet Ndegelile gwa Nkuju-Kyimbila.
Duh, we Popo umetutenga eeeehh.. eti kukaja kununu bagwitu..subiri nirudi nije kukumwagia kindengereko hapa...
ReplyDeletei can see Rungwe the Champion from here.
ReplyDeletemweeeeeeeeeee umenikumbusa mbali sana kumitu oooh ! nimekumbuka pale kwetu njia panda ndembela kwa bibi yangu ooh nyumbani kwetu ni kuzuri jamani!! leo itabidi nitengeneze ifindu fya kumit i-mbalagha ,umpunga !! Thanks kwako mdau uliechukua hii taswira!!
ReplyDeletekalumbu A.
Tummoghele x 2
ReplyDeleteAtummogheleh
ahsante bro michuzi inatukumbusha wote nyumbani
ReplyDeleteKwisa.
Bagamoyo ya Tukuyu ina uhusiano gani na Bagamoyo ya Pwani au ni majina tu?
ReplyDeletesuch a beautiful place,.. nice pic bro mithupu ila WAKISAINI MIKATABA YA E.A.C HIYO SEHEMU HAITAKUWA TUKUYU LAND ITAKUWA KIKUYU LAND.
ReplyDeleteMICHUZI, ULINSISYA!!!!!!!
ReplyDeletemwee kukaja kununu na loli, mdau mwalimu Kipalule yupo kwa sasa ana wake watatu wawili wanaishi Lubiga na mmoja ni mwalimu wa Bulyaga anaishi pale Msikitini kwa Viro. Gwakisa
ReplyDeleteMITHUPU NDAGA MALAFYALE! TUKUJU OJEEEEEE
ReplyDeleteMma loli bagwitu, loli kumwitu kunyafu, kangi ubagile nukwitoga igari lulu ukuti usulukege ntukuju bagwituuu! ndaga mithupu apa utuketileko nanuswe!!
ReplyDeleteNgungumbwishye kukaja kulutengano (Ngopyolooooo)
Mma loli bagwitu, loli kumwitu kunyafu, kangi ubagile nukwitoga igari lulu ukuti usulukege ntukuju bagwituuu! ndaga mithupu apa utuketileko nanuswe!!
ReplyDeleteNgungumbwishye kukaja kulutengano (Ngopyolooooo)
Mma loli bagwitu, loli kumwitu kunyafu, kangi ubagile nukwitoga igari lulu ukuti usulukege ntukuju bagwituuu! ndaga mithupu apa utuketileko nanuswe!!
ReplyDeleteNgungumbwishye kukaja kulutengano (Ngopyolooooo)
Mmmh! Kazi kweli kweli watanzania bado tuna safari ndefu Looooo!
ReplyDeleteNahisi wakitoka nshomile hawa ndugu zetu ulipo huo mlima rungwe ndo wanafwatia kwa ukabila.
Hivi kama mtu asili yake ni hapo lakini hakubahatika kuijua lugha yake,ataelewa hayo mliyoandika?
Mwaki...,Mwandu...., Atu....,Ambaki......Mwaip.....,Lute.......,Lusub......,Lusa......,Mwaigom......Mmmmh! Kazi tunayo!
atayaelewa tu ,mimi mwenyewe niliishi rungwe,lakini sio mzaliwa wa kule mbona nayaelewa? nimefurahi kupaona tukuyu huyu picha amechukulia itete dispensary pale barabarani
ReplyDeletetubukile kutukuju
mambo ya kina lusajo ,lusubilo,lutengano,kisa ngonya,ben mwaipaja nakadhalika